Huyu ndiye msanii mwenye muonekano wa kimasikini kuliko msanii yeyote yule.

Huyu ndiye msanii mwenye muonekano wa kimasikini kuliko msanii yeyote yule.

Huyu jamaa anaitwa Madebe Lidai au ukipenda muite nabii mswahili.

Jamaa amejizolea umaarufu kwa aina ya uigizaji wake kwa kutumia vijimisemo vyake vya kiswahili swahili na ameigiza filamu nyingi ila sitazitaja maana nitakuwa kama nampa promo tu .


Pointi yangu ya msingi ni kwamba huyu jamaa anamuonekano wa kimasikini sana halafu mchafu mchafu sana hajijali na anapenda uswahili kupindukia.

Kila anayopost ukiitazama utakuta miguu michafu michafu, au mazingira ni machafu machafu na mbaya zaidi ni uhalisia na sio labda yuko location ana shuti muvi.


Kwa ambao mpo karibu yake mchaneni ndugu yenu azingatie usafi na ajiweke kwenye muonekano nadhifu kidogo sio huo muonekano alionao wa kimasikini mpaka unakera.


View attachment 864913
Wivu + majungu
 
Mbona jamaa msafi au ulitaka anywe maji ndio uone usafi wake. Alafu ndugu zangu wanaoandaa tuzo Azam kama hawajampa muigizaji bora nitawashangaa sana na sitowaelewa.
 
Kila mtu anamaisha take uweziii lazimisha mtu haishiii unavotaka wewe na muonekano mzuur haimaaanishii mtu anamaisha mazuriii au muonekano mchafuu haumaanishii mtu ni maskiniii ni preference na life style..........usipotezeee muda wako kuhangaikia muonekano wa mtu mind your business usikute yeye ana good life more far from you stick to your life if you suck at it ni kivyako usilazimishe mtu aishi maisha ambayo wewe unataka
 
Kwenye sanaa kuna kitu kinaitwa STYLE!
huu ni upekee wa msanii!
SASA best !
HUO HUO UCHAFU CHAFU WAKE NDIO ULIOFANYA UMUANDIKIE THREAD!
sawa?
haya kakojoe ulale!
Kumbe uchafu siku hizi ni sifa , nilikuwa sijui hilo.

Haya ninakuona kiongozi wa wachafu umekuja kumtetea mchafu mwenzako.
 
Kwani
Huyu jamaa anaitwa Madebe Lidai au ukipenda muite nabii mswahili.

Jamaa amejizolea umaarufu kwa aina ya uigizaji wake kwa kutumia vijimisemo vyake vya kiswahili swahili na ameigiza filamu nyingi ila sitazitaja maana nitakuwa kama nampa promo tu .


Pointi yangu ya msingi ni kwamba huyu jamaa anamuonekano wa kimasikini sana halafu mchafu mchafu sana hajijali na anapenda uswahili kupindukia.

Kila anayopost ukiitazama utakuta miguu michafu michafu, au mazingira ni machafu machafu na mbaya zaidi ni uhalisia na sio labda yuko location ana shuti muvi.


Kwa ambao mpo karibu yake mchaneni ndugu yenu azingatie usafi na ajiweke kwenye muonekano nadhifu kidogo sio huo muonekano alionao wa kimasikini mpaka unakera.


View attachment 864913
Kwani muonekano wako ukoje mkuu
 
Back
Top Bottom