Bilionea kid
JF-Expert Member
- Oct 19, 2018
- 581
- 519
unamjua penny wewe?
Penny wakawaida sanaaunamjua penny wewe?
Thank chukua hili busu [emoji8][emoji8]Penny sio mzuri kiandunje hafu mnene ka kiboko
Hiyo ni hulka yake mchangamfu sana hapendi kukaa kinyongeNi mzuri kweli Ila apunguze kucheka cheka hovyo anajiharibia
Yupo humbe sanaaMwanzoni anaanza kipindi cha Millard ayo (Count down) nilimuona kama kero ila nikaja mzoea saivi nafurahi sana ..ni mtu humble !
tufanye hivi!!"beauty is in the eye of the beholder"Thank chukua hili busu [emoji8][emoji8]
Vipi kale kajamaa ka hapo hakajampitia kweli?Anaitwa meena ally ni mtangazaji wa clouds FM binafsi Mimi nampenda namkubali
Anakipaji kikubwa sana alafu pia ni mrembo hanaga maringo
View attachment 969064View attachment 969063View attachment 969071View attachment 969073View attachment 969075
ewalaaaa mwanamke bila chura ni sawa na nyoka bila sumu!!Tatizo chura hanaaa
Hivi unatumia kigezo gani kutuaminisha watu wote kuwa huyo ndie mtangazaji mzuri kuliko wote Tanzania?
Watanzania hivi tupoje? Ukisema mtu fulani kuwa ni mzuri (kwa kutumia vigezo vyako tusivyovijua)ni lazima tukubaliane na wewe kuwa ni mzuri?
unamjua penny wewe?
Thank chukua hili busu [emoji8][emoji8]
Tubishane kwa hoja toa maoni yako
Ana bonge la flat screenewalaaaa mwanamke bila chura ni sawa na nyoka bila sumu!!