Huyu ndiye mtangazaji mrembo kuliko wote Tanzania

Huyu ndiye mtangazaji mrembo kuliko wote Tanzania

Bilionea kid

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2018
Posts
581
Reaction score
519
Anaitwa meena ally ni mtangazaji wa clouds FM binafsi Mimi nampenda namkubali

Anakipaji kikubwa sana alafu pia ni mrembo hanaga maringo

IMG_20181212_195520_582.jpeg
View attachment 969063
IMG_20181212_195415_101.jpg
IMG_20181212_195438_396.jpg
IMG_20181212_195459_828.jpg
 
Tubishane kwa hoja toa maoni yako
Hivi unatumia kigezo gani kutuaminisha watu wote kuwa huyo ndie mtangazaji mzuri kuliko wote Tanzania?

Watanzania hivi tupoje? Ukisema mtu fulani kuwa ni mzuri (kwa kutumia vigezo vyako tusivyovijua)ni lazima tukubaliane na wewe kuwa ni mzuri?
 
Back
Top Bottom