RASHIDI OMARY
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 524
- 498
Nyoka wa kibisa!Millard atakua ashakula hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoka wa kibisa!Millard atakua ashakula hapo
Sauti yakidumeNdo yule wa amplifier?
nimewaambia mkuu pitia replies utaona ani wa kawaida sanaa sa sijui mtoa mada na wenzake hawajawahi kuona watoto warembo ndo maana inakuwa hivyo huyo dem wa kawaida sanaaa,Wa kawaida sana,hizo make up za huyo mdada zinawababaisha msiokuwa na macho ya kuperuzi na kudadis
😭😭😂😂 waambie mkuuMina ally sio mrembo hata kdog...angalia clip zake za video ndo urejee hapa...picha za instagram hakuna demu mbaya
Nimekuta naye live achana na video na pic yupo natureMina ally sio mrembo hata kdog...angalia clip zake za video ndo urejee hapa...picha za instagram hakuna demu mbaya
Nikekutana naye live alafu mm nimempambanisha na watangazaji wenzienimewaambia mkuu pitia replies utaona ani wa kawaida sanaa sa sijui mtoa mada na wenzake hawajawahi kuona watoto warembo ndo maana inakuwa hivyo huyo dem wa kawaida sanaaa,
MZURI KWA NANI? MkuuAnaitwa meena ally ni mtangazaji wa clouds FM binafsi Mimi nampenda namkubali
Anakipaji kikubwa sana alafu pia ni mrembo hanaga maringo
View attachment 969064View attachment 969063View attachment 969071View attachment 969073View attachment 969075
MZURI KWAKO MKUU SI KWA KILAMTUNimekuta naye live achana na video na pic yupo nature
😂😂😂 hadi unashindwa kuandika vizuri sawa mkuu mzuri kwako mkuu , tunatofautianaNikekutana naye live alafu mm nimempambanisha na watangazaji wenzie
Tuletee hizo picha za "nature" za huo mpambanoNimekuta naye live achana na video na pic yupo nature
Kwa mimiMZURI KWA NANI? Mkuu
Aaaah,kawaida hapo mkuuuuhuyu mtoto wallah
MZURI KWAKO MKUU SI KWA KILAMTU
Wacha kutumia neno "mrembo" pasipostahili...ngoja nimuite mwanagenzi sigalla akufahamishe.Anaitwa meena ally ni mtangazaji wa clouds FM binafsi Mimi nampenda namkubali
Anakipaji kikubwa sana alafu pia ni mrembo hanaga maringo
View attachment 969064View attachment 969063View attachment 969071View attachment 969073View attachment 969075
Umetaka kutuaminisha ndo mzuri Kuliko watangazaji wootee ilhali nzuri kwako tu si kwabkila mtu! LETA PICHA ZA MPAMBANO USIPANIK I mkuuKwani mm nimesema mzuri kwako??
PoleeeeKwa mimi
Kama mzuri kwako tu Sasa kumuanzia thread Kuna haja gani?Kwa mimi
Kama binadamu, una uhuru wa kutumia ubongo wako kufanya tafakuri na kutoa conclusion, wazo lako sio la mtu mwingineAnaitwa meena ally ni mtangazaji wa clouds FM binafsi Mimi nampenda namkubali
Anakipaji kikubwa sana alafu pia ni mrembo hanaga maringo
View attachment 969064View attachment 969063View attachment 969071View attachment 969073View attachment 969075