tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Ndio mana nimekuambia anashape ya dogo janja yani kama dume,mwanamke lazima idara flaniflani zikamilike ndio uvutieHahaaaaa na uzuri wa gari ni engine yake. Sema yuko kidume dume hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mana nimekuambia anashape ya dogo janja yani kama dume,mwanamke lazima idara flaniflani zikamilike ndio uvutieHahaaaaa na uzuri wa gari ni engine yake. Sema yuko kidume dume hivi
Hapa huyo Mina ulimaanisha Mia Khalifa ?pole uwe na flat ila uwe na nyonyo umemuona mina wewe hajulikani mbele wapi nyuma wapi!
nguvu ya makeup,adobe, high resolution cameras, angalia ile video kawahoji machalii wa chuga with no makeup ndo ujue ni mzuri ama la, ani leo anaonekana mzuri kesho mmbaya sa ndo ma nini[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaaaa Kuna ukweli hapa aiseeNdio mana nimekuambia anashape ya dogo janja yani kama dume,mwanamke lazima idara flaniflani zikamilike ndio uvutie
Eti mnene ka kiboko hahabahahahahaahbaPenny sio mzuri kiandunje hafu mnene ka kiboko
Kawa mnene had anashindwa kuhema vzuriEti mnene ka kiboko hahabahahahahaahba
Aisee kweli kwenye hiyo video n wa kawaida ..wapo wanakula zao chapati kubwa hahahahahahahahnguvu ya makeup,adobe, high resolution cameras, angalia ile video kawahoji machalii wa chuga with no makeup ndo ujue ni mzuri ama la, ani leo anaonekana mzuri kesho mmbaya sa ndo ma nini[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtoto wa BabaNdo Yule mwenye sauti fulani hivi ya kukwaruza ee
AbeeMtoto wa Baba
Sauti yke ata sio nzuriiNdo Yule mwenye sauti fulani hivi ya kukwaruza ee
Si unajua lakn uzuri upo machoni pa mtuHuyo ni mzuri??
Like seriously??
Nigga!
Jitahidi kutembea tembea hakika When You Think You Got It All, Think Again!
Ana sauti ya kiumeSauti yke ata sio nzurii
Ila unatakiwa utazame reasonably sasa si kwakua eti wewe ndo beholder basi ujitie makengezaSi unajua lakn uzuri upo machoni pa mtu