Huyu ndiye mtangazaji mrembo kuliko wote Tanzania

Huyu ndiye mtangazaji mrembo kuliko wote Tanzania

nguvu ya makeup,adobe, high resolution cameras, angalia ile video kawahoji machalii wa chuga with no makeup ndo ujue ni mzuri ama la, ani leo anaonekana mzuri kesho mmbaya sa ndo ma nini[emoji23][emoji23][emoji23]

Ni mzuri hata bila makeup
 
very conshaz mcheshi sana ka comed kwa mbali usiriazi kwa mbali yani nika zuri ofcoz
 
nguvu ya makeup,adobe, high resolution cameras, angalia ile video kawahoji machalii wa chuga with no makeup ndo ujue ni mzuri ama la, ani leo anaonekana mzuri kesho mmbaya sa ndo ma nini[emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee kweli kwenye hiyo video n wa kawaida ..wapo wanakula zao chapati kubwa hahahahahahahah
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kweli kabsa Leo nimeuota huyo demu eti nimemuoa yaani toka hapo nimempenda balaaa
 
Back
Top Bottom