Huyu ndiye mtangazaji mrembo kuliko wote Tanzania

Zanzibar moja hyo
 
Umetumia kiegezo gani labda kusema kwmba ndie mrembo?
Warembo wapo wengi sana huyo hata top 20 haingii mzee pole
 
Hahahaaaaaaaa kweli kilaza. Kwanza hakustahili hata kuwa mtangazaji anasauti mbaya hatari, ana sura mbaya duuh. Kavae miwani kisha kaangalie vipindi vyote kwenye Tv zote kisha urudi kifuta uzi wako huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…