Zanzibar moja hyoKwa ushikaji kweli namkubali ni mshikaji, hanaga noma na mtu huyu Dada...ingawa ushkaji umekuwa mwingi kiasi kwamba hadi naanza kuhisi ni tom boy labda [emoji16][emoji16][emoji16].
Ila kusema kuwa ni mrembo kuliko watangazaji wote TZ hapo umetudanganya.
Alafu huyu dem anatokaga Arusha kama sijakosea ndiyo maana ushkaji mwingi kuliko
Hivi wewe umekuwaje siku hizi?Sura mbovuuu kama yai viza
Zanzibar moja hyo
"The way her are" ndiyo nini?Nampenda sana Meena the way her are.
"The way her are" ndiyo nini?
Hata sijui ni nin, hebu nisaidie bas, nliishia la 3 B"The way her are" ndiyo nini?
Wala hata kinyakyusa hicho. Na venye nliishia la 3 B[emoji16][emoji16][emoji16] ndiyo kiingereza eti
Kwani wewe ulitaka kumaanisha nini? Tuanzie hapo kwanzaHata sijui ni nin, hebu nisaidie bas, nliishia la 3 B
Hata sijui nilichotak kumaanisha eti.Kwani wewe ulitaka kumaanisha nini? Tuanzie hapo kwanza
Utakuwa humjui mkabesa wa TBCView attachment 1678684
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app