Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu penny wakawaida filter nyingi sana mkute live uonehuyu mtoto wallah
pole uwe na flat ila uwe na nyonyo umemuona mina wewe hajulikani mbele wapi nyuma wapi!Ana bonge la flat screen
Sasa tabia yanini kwan umesikia tunataka kuchumbia???Toa vigezo vitano unavyodai kuwa huyo ndie mtangazaji mrembo kuliko wote Tanzania
NB: Uzuri wa mwanamke sio Urembo, ni tabia (Wahenga)
Ndiyo mkuuNdo yule wa amplifier?
Huyo ni mrembo kwa vigezo vyako. Mie kwa shoga yangu Jacqueline Silemu hunitoiAnaitwa meena ally ni mtangazaji wa clouds FM binafsi Mimi nampenda namkubali
Anakipaji kikubwa sana alafu pia ni mrembo hanaga maringo
View attachment 969064View attachment 969063View attachment 969071View attachment 969073View attachment 969075
Sasa tabia yanini kwan umesikia tunataka kuchumbia???
Penny huyuhuyu wa Diamond au mwingineunamjua penny wewe?
Anaitwa meena ally ni mtangazaji wa clouds FM binafsi Mimi nampenda namkubali
Anakipaji kikubwa sana alafu pia ni mrembo hanaga maringo
View attachment 969064View attachment 969063View attachment 969071View attachment 969073View attachment 969075
Nimelichukua mkuu
Yeah! Nimesha mwona live arusha nimepiga na pichaUmeshawahi kumwona live?
Au ni hizi filtered pics!
Yeah! Nimesha mwona live arusha nimepiga na picha
Yupo simple sana hanaga maringo anpenda kujichanganya ukimfata DM anajibu fastaSafi mwana, mimi simwelewagi.
Wa kawaida sana,hizo make up za huyo mdada zinawababaisha msiokuwa na macho ya kuperuzi na kudadisNi mzuri kweli Ila apunguze kucheka cheka hovyo anajiharibia