sandraeli
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 1,431
- 2,392
KabisaaaAna sauti ya kiume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaaaAna sauti ya kiume
Itakua kazi wanapeana kwa kujuana mana radio siku izi unashangaa huyu mtu kafikaje kwenye micAna sauti ya kiume
unaitakaga kwa heshima sana,kiasi kwamba unanipa sababu yakuhitaj kukujua zaidi !!Abee
Hahahahahaha ahsante...ila kwani ulishawahi niita tena nikaitikia hivo mkuu?unaitakaga kwa heshima sana,kiasi kwamba unanipa sababu yakuhitaj kukujua zaidi !!
Wala sio makengeza yeye kwake ni mzurii na ana sabbu zake za kumuona ni mzuri..na ww una vigezo vyako ndo mana unaona hamna kituIla unatakiwa utazame reasonably sasa si kwakua eti wewe ndo beholder basi ujitie makengeza
Siku hizi hata interview zinafanyika za kuzuga maana nafasi ikiwepo inakuwa mahsusi kwa ajili ya intended person (ambaye ndiye mwenye connection)Itakua kazi wanapeana kwa kujuana mana radio siku izi unashangaa huyu mtu kafikaje kwenye mic
Ana tako?Anaitwa meena ally ni mtangazaji wa clouds FM binafsi Mimi nampenda namkubali
Anakipaji kikubwa sana alafu pia ni mrembo hanaga maringo
View attachment 969064View attachment 969063View attachment 969071View attachment 969073View attachment 969075
Hii ni mara ya pili, ila nmeshuhudia ili hata kwa Ulivoitwa na wengine.Hahahahahaha ahsante...ila kwani ulishawahi niita tena nikaitikia hivo mkuu?
Be reasonable hata kama umepewa privilege ya kua beholder!Wala sio makengeza yeye kwake ni mzurii na ana sabbu zake za kumuona ni mzuri..na ww una vigezo vyako ndo mana unaona hamna kitu
Mi pia nimeshindwa kushangaa mkuuHivi unatumia kigezo gani kutuaminisha watu wote kuwa huyo ndie mtangazaji mzuri/mrembo kuliko wote Tanzania?
Watanzania hivi tupoje? Ukisema mtu fulani kuwa ni mzuri (kwa kutumia vigezo vyako tusivyovijua)ni lazima tukubaliane na wewe kuwa ni mzuri?
Yale meno inabidi uyapange upya, maana yamekaa kama punje za mahindi!
Exactly, na ndio maana nimesifia meno kama punje za mahindiHer differences her uniqueness
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama ni kamati ya vipofu??
RugemaliraVipi kale kajamaa ka hapo hakajampitia kweli?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yale meno inabidi uyapange upya, maana yamekaa kama punje za mahindi!