Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
AiseePenny sio mzuri kiandunje hafu mnene ka kiboko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseePenny sio mzuri kiandunje hafu mnene ka kiboko
Binadam tunajisahau kama tumeumba vileIlitosha tu kusema sio mzuri jamani.. Et kiandunje daaah mbona yeye na lulu.. Mrefu kwa lulu.
Aisee
Binadam tunajisahau kama tumeumba vile
Sawa sawaTatizo sio kuumba kwani ufupi au urefu ni dhambi si maumbile acheni complications za maisha
Sawa sawa
Sio dhambi lakini hupaswi kuumbua
HongeraHapo sijaumbua mwenyewe mbona kiandunje nimejikubali tu
Hongera
Point nondo uyo demu bado sana alf saut zege midemu ya kichaga hyo ukigonga utadhan nyka kalalia Gogonguvu ya makeup,adobe, high resolution cameras, angalia ile video kawahoji machalii wa chuga with no makeup ndo ujue ni mzuri ama la, ani leo anaonekana mzuri kesho mmbaya sa ndo ma nini[emoji23][emoji23][emoji23]
Bado tunangoja ageuke kwanza.Anaitwa meena ally ni mtangazaji wa clouds FM binafsi Mimi nampenda namkubali
Anakipaji kikubwa sana alafu pia ni mrembo hanaga maringo
View attachment 969064View attachment 969063View attachment 969071View attachment 969073View attachment 969075
Penny sio mzuri kiandunje hafu mnene ka kiboko
😂😂😂😂Point nondo uyo demu bado sana alf saut zege midemu ya kichaga hyo ukigonga utadhan nyka kalalia Gogo
duh kila mtu na jicho lake mkuuNi mzuri hata bila makeup