Huyu ndiye Muigizaji Brian Deacon, aliyeigiza kama Yesu na anachokifanya kwa sasa katika Maisha

Je kabla huyo bria ajaigiza kama yesu kulikuwa na picha ya yesu? Tafadhali naomba jibu kwa anaye fahamu
 
Je kabla huyo bria ajaigiza kama yesu kulikuwa na picha ya yesu? Tafadhali naomba jibu kwa anaye fahamu
Zilikuwepo nyingi tuu...na movie nyingi tuu zilitengenezwa...ila kila movie ilitengenezwa kwa kutegemea simulizi za INJILI KM ILIVYOADIKWA NA NANI.Kuna picture ziishchorwa na kuna picture iliyopigwa ktk zulia wanaloamini lilikuwa sanda Yake na kuleta picture km hiyo.
 
Actor mwingine haimaanishi ni character mwingine....kwanini usiwe serious ktk hilo.Nelson Mandela ataactiwa na watu wengi sana...ila historical Mandela atabaki yule yule.Najua ni rahisi sana nyie kufanya mizaha.Ila ulimwengu wa roho hauna mizaha kihivyo....
 
List of books in the Orthodox
Tewahedo Bible
Old Testament
1. Genesis
2. Exodus
3. Leviticus
4. Numbers
5. Deuteronomy
6. Joshua
7. Judges
8. Ruth
9. I and II Samuel
10. I and II Kings
11. I Chronicles
12. II Chronicles (incl. the Prayer of
Manasseh )
13. Jubilees
14. Enoch
15. Ezra-Nehemiah
16. Ezra (2nd) and Ezra Sutuel
17. Tobit
18. Judith
19. Esther
20. I, II and III Meqabyan (Similarly
named, but not the same as the four Greek
Books of the Maccabees. )
21. Job
22. Psalms
23. Messalë ( Proverbs ch 1–24)
24. Tägsas ("Reproof"; Proverbs ch 25–31)
25. Wisdom of Solomon
26. Ecclesiastes
27. Song of Songs
28. Isaiah
29. Jeremiah (incl. Lamentations , Letter of
Jeremiah , Baruch and 4 Baruch)
30. Ezekiel
31. Daniel
32. Hosea
33. Amos
34. Micah
35. Joel
36. Obadiah
37. Jonah
38. Nahum (or Nahium)
39. Habakkuk
40. Zephaniah
41. Haggai
42. Zechariah
43. Malachi
44. Sirach
45. Josippon

New Testament
1. Matthew
2. Mark
3. Luke
4. John
5. Acts of the Apostles
6. Romans
7. I Corinthians
8. II Corinthians
9. Galatians
10. Ephesians
11. Philippians
12. Colossians
13. I Thessalonians
14. II Thessalonians
15. I Timothy
16. II Timothy
17. Titus
18. Philemon
19. Hebrews
20. I Peter
21. II Peter
22. I John
23. II John
24. III John
25. James
26. Jude
27. Revelation
28. Ser`atä Seyon (30 canons)
29. Te'ezaz (71 canons)
30. Gessew (56 canons)
31. Abtelis (81 canons)
32. I Covenant
33. II Covenant
34. Ethiopic Clement
35. Ethiopic Didascalia

Wanajukwaa naomba niulize na kama kunamtu mwenye jibu sahihi tafadhali anifahamishe. Mtiririko huo hapo juu ni vitabu katika bibilia ya Ethiopia kinachonipa shida mm ni hivyo vitabu vingine ambavyo havipo kwenye bibilia nyingine zote isipo kuwa ya Ethiopia tu.
Swali?..
Ina maana hakuna tafsiri ya hivi vitabu au hapa iko vp?
Mdau yoyote mwenye kufahamu kuhusu hili naomba anijuze
 

Attachments

  • 1430394176576.jpg
    30.5 KB · Views: 813
Na kuna madai mengi kuwa bibilia inabadilishwa kila baada ya miaka kadhaa ukichukua bibilia ya zamani kidogo na ya Sasa kuna Baadhi ya mistari inapishana je na huu ni ukweli?..
Maandishi ya mwanzo kbs ya biblia yapo sehemu gani hasa au ni yapi hasa
 
Ethopia walikuwa central ktk kuibuka kwa dini za kiyahudi,kikristu na hata uislam,walideal na mitume wao directly.....lugha yao haijabadilika sana tangu zamani kwa hiyo choice ao ya vitabu ktk Biblia yao itakuwa yao zaidi kwani Kanisa lao pia lina Mamlaka tofauti pia.Tafrisi inaweza kuwepo ya lugha nyingine,ila Kiswahili tunaweza kuwa na shida kwani hatuna vyombo bora vyenye resources ktk kutafrisi.Pia ingekuwa nao wana uwezo wangeweza shawishika kutafsiri ili wakaendeze...Abyssinia hiyo..ni mojawapo ya mataifa yatakayokuwa katikati ya vita za dunia za kidini..na vita za kidunia kati ya shetani na watu wa Mungu.
 
Asante Kwa majibu mazuri. Sema kama hivi vitabu vitakuwa katika tafsiri ya lugha chache basi kunautata mkubwa kuhusu real Hebrew, au Ten lost tribes of Israel.
Nasema haya nikiwa na wasiwasi kwasababu kuna mambo yanayoendelea katika Baadhi ya vyuo vya historia pande zote za DUNIA kuwa wale wanaojiita Hebrew, Jews sio kabisa maana ukiwaambia WA prove kuwa ni real hebrews or real Jewish people hawawezi kutokana kwenye historia hawajatajwa. Nikimaanisha hebrews na Jews [wakizungu] wanashindwa kudhibitisha kuwa hao ndio real walikuwa ktk historia ya kale. Ila Kwa sisi watu weusi na waindi tunaweza kudhibitisha.
 
Unataka kuniambia before jamaa hajazaliwa 1949 machapisho ya kiroho yalikua na picha nani?? au hayakua na picha??
 

alichoongea mtoa maada kina tofauti gani na ulichokiandika wewe?
 
mkuu gibson hajawahi kuigiza muvi ya yesu bali alikuwa muongozaji(director)
 

We jamaa acha fiksi meil gibson ni director tu wa ile movie....sasa story nyingine we umetoa wapi??
 
mkuu gibson hajawahi kuigiza muvi ya yesu bali alikuwa muongozaji(director)

Hata mimi jamaa amenishangaza kidogo aliposema Mel Gibson ameigiza hiyo filamu. Najua huyu mtu ni director wa filamu maarufu za "Passion of Christ" pamoja na ile ya "Apocalypto"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…