Huyu ndiye Muigizaji Brian Deacon, aliyeigiza kama Yesu na anachokifanya kwa sasa katika Maisha

Huyu ndiye Muigizaji Brian Deacon, aliyeigiza kama Yesu na anachokifanya kwa sasa katika Maisha

Hazisujudiwi ila uwepo wake unakumbusha tu uwepo tu wa kitu cha namna hiyo. Ni kama unavyoweza kuchora picha yako its not real ila ukiiona unajikumbuka. Lakini cha zaidi ni kuna hata wapagani ambao wanaabudu miti na mawe na hawana shida na mtu yoyote. Pa kuanzia kuna dini ambazo ni kitovu cha fujo na ughaidi hizi ndizo zinahitaji kufanyiwa overhaul.
NDIO MAANA DINI HII INA SKENDO NYINGI ZA UONGO SABABU WASANII NDIO WAPO NAFASI ZA JUU, WAIGIZAJI WANAPEWA NAFASI YA UTUME HADI UUNGU MARA KAFUFUA MTU NJAA NJAA TUUUUUUUUUUUUUUUU
 
Muingereza aitwaye Brian Deacon ndiye njemba iliyomuigiza Yesu. Ukimuona Yesu msalabani ukamlilia hata kumuabudu, jua ni Deacon.https://hope1032.com.au/stories/faith/2016/brian-deacon-the-face-of-jesus/
Huyu jamaa ni mwigizaji anayeigiza chochote hata uwe ushoga ilmradi apate fedha. Je kama Kanisa limewahadaa waumini wake wajinga kwa miaka yote hii, kwanini lisishitakiwe kwa kueneza dini kwa uongo sawa na uislam unavyoenezwa kwa kuruhusu mtu aslimu lakini hapo hapo akijiondoa auawe?
Hapa unajifunza nini?
Kwanza, wanaomtangaza na kumhubiri Yesu hawamjui na inawezekana hakuwahi kuishi na kufanya yote anayodaiwa kufanya. Sawa na waislam, baada ya kugundua kuwa Mohamed anaweza kuleta utata, walikataa kuchapisha picha zake jambo ambalo linajenga dhana kuwa hakuwahi kuwapo wala kufanya hayo anayodaiwa kuyafanya. Kweli dini ni kanyabwoya na utapeli wa mwaka.
Nawasilisha.
 
Muingereza aitwaye Brian Deacon ndiye njemba iliyomuigiza Yesu. Ukimuona Yesu msalabani ukamlilia hata kumuabudu, jua ni Deacon.https://hope1032.com.au/stories/faith/2016/brian-deacon-the-face-of-jesus/
Huyu jamaa ni mwigizaji anayeigiza chochote hata uwe ushoga ilmradi apate fedha. Je kama Kanisa limewahadaa waumini wake wajinga kwa miaka yote hii, kwanini lisishitakiwe kwa kueneza dini kwa uongo sawa na uislam unavyoenezwa kwa kuruhusu mtu aslimu lakini hapo hapo akijiondoa auawe?
Hapa unajifunza nini?
Kwanza, wanaomtangaza na kumhubiri Yesu hawamjui na inawezekana hakuwahi kuishi na kufanya yote anayodaiwa kufanya. Sawa na waislam, baada ya kugundua kuwa Mohamed anaweza kuleta utata, walikataa kuchapisha picha zake jambo ambalo linajenga dhana kuwa hakuwahi kuwapo wala kufanya hayo anayodaiwa kuyafanya. Kweli dini ni kanyabwoya na utapeli wa mwaka.
Nawasilisha.
Unatakiwa uelewe sanaa ya uigizaji, haimaanishi ni kyaish maisha ya character, alifanya kazi yake akalipwa
Alikuja muigizqji mwingine kwenye mafasi hiyo hiyo him caivezel, ambaye alimpita hata deacon
Wenyewe wanaelewa, actors wana act characters
 
Back
Top Bottom