Huyu ndiye Muigizaji Brian Deacon, aliyeigiza kama Yesu na anachokifanya kwa sasa katika Maisha

Huyu ndiye Muigizaji Brian Deacon, aliyeigiza kama Yesu na anachokifanya kwa sasa katika Maisha

Mkuu sidhani kama wachungaji au mapadri wanapohubuiri na kumtaja Yesu wanamaanisha huyu jamaa aliyeigiza...

Yanibhauna sababu ya kutaharuki
Mkuu awa viongozi wa dini ndio tatizo kumbuka wao ndo wanahusika na taratibu zote za kidini alafu ndo wanaruhusu upitoshwaji huu nawao ndo wanaruhusu filamu hizi kuoneshwa nakuzuia watu wasijue ukweli, mimi sina mashaka na sinema hizi Ila kinachoniuma ni kushindwa kuwaambi watu ukweli kuwa Uyu sio YESU na hakuna picha ya YESU Duniani.
 
Anaye abudu sanamu sio Mkristo,
Kuna makanisa mengi ambayo siyo ya Kikristo.
Hujawahi liona
The Satanic Church,
The Mormon Church
The Rastafalian Church.
Sasa hebu wewe niambie hapa, hilo kanisa ulilo ona wanaabudu sanamu linaitwaje.
Soma kwenye bango lake utaona walipoandika.
Kanisa la Kristo haliabudu sanamu.
Wakristo hawaabudu sanamu hata siku moja.
Usichanganye kati ya kanisa la Kristo na Makanisa mengine.

Ushanielewa jamaa yangu.
Mkuu ivi unajua maana ya sanamu?
Soma kitabu cha kumbukumbu la Torati kitakusaidia inawezekana unaabudu bila kujua ukibisha nakuwekea ushahidi. Wakatoriki wanaabudu sanamu.
 
Sasa nataka kufafanua yule kahaba anayefananishwa na Bikira Mariam aliyemzaa yesu wengi wetu mnatembea naye kwenye magari ndo maana mnapata ajari, wengine mmemjengea vihekalu vidogo nyumbani kwenu ndomaana migogoro haiishi,wengine mmnamwomba kanisani ndomaana familia zenu zimeparaganyika. Subirini naandaa dawa yenu. Hatuwezi kuwaacha mkaarifu na kumfananisha Mungu na miungu.
"Bikra maria" ile ni picha tu ilibuniwa na msanii nguri mchoraji da'vinci, haina uhalisia wowote, aliichora akaipachika jina la "monalisa" wenye dini zao wakaipa fursa kwamba ndiye bikra maria.
 
Be straight
MNAPANIKI BURE!

Mi sioni sababu inayowafanya mpaniki.... maigizo yapo hakuna anaeibisha.

HOJA HAPA , JE ALICHOIGIZA AMEPOTOSHA AU HAJAPOTOSHA KULINGANA NA KITABU CHA LUKA??

Sasa kama hakupotosha ,,povu la nini?..

Hata Mimi sikatai wakati mdogo katika maisha yangu niliamini kabisa huyo ndo YESU mwenyewe nikijumlisha na maandiko matakatifu toka katika kitabu cha luka,,, Binafsi ilinisaidia kuwa karibu na Mungu.............ile hofu ya Mungu niliyokuwa nayo mapema ilinisaidia kutoshiriki matendo maovu au dhambi hata kama nikifanya ilikuwepo hali kujutia...na unyenyekevu huo Leo naona matunda yake hata baada ya kugundua sio YESU.

Wengi mtakuwa mnamjua ndege tai anapomfundisha kinda wake kuruka. Ni kama anamtesa lakini anakuwa nia njema huo ni mfano mzuri wa maisha ya Mungu na Mwanadamu.

WAKATI mwingine ni njia anazotumia MUNGU katika harakati za kumrudisha mwanadam kwake.....MUNGU anakuanzia mbali anapotaka kukusaidia.......imani yako inapokomaa hapo anakuacha ujitegemee na hapo ndo unagundua Huyo kwenye filamu sio YESU lakini pia unagundua MAKUSUDI ya Mungu kwako.


Sasa hatua ya mwanzo kabisa tunapaswa kuamini kwa sababu kila neno lenye pumzi ya MUNGU lafaa kwa mafundisho ....Hivyo kadri tunavyokua ndivyo MUNGU anavyotuimarisha katika imani zetu.

Sasa kwenye hiyo filamu yamehubiriwa mambo mengi yanayotuasa,,

Umetajwa UPENDO, UCHOYO, UZINZI, ULAFI , CHUKI , TAMAA n.k

lakini bado miujiza mingi imefanyika kuthibitisha nguvu za Mungu.......yote hayo hatujifunzi sisi tunakomaa kwamba aliyeigiza sio Yesu sidhani kama inasaidia.

Wale wahenga zamani mtakumbuka tulikuwa tunaonyeshwa sinema za maigizo kuhusu ugonjwa wa ukimwi...unashuhudia mwanzo mwisho mpaka Mtu anavyokonda na kufa.
Yote yalikuwa ni maigizo lakini yanaleta hisia mpaka unabadili mwenendo ,, ..kama una ile hofu inakusaidia kukuokoa hata kama ni igizo.

Kwaio mi nafikiri tunapaswa kuamini kwanza yaliyomo kwenye hiyo filamu.

Hoja ya aliyeigiza sio Yesu ni nyepesi mno na haisaidii.
 
Hiyo ni sawa na ile movie ya Idd Amini Dada, kama usipokuwa makini unaweza hisi ndio yy wakati ni mtu mwingine tu, kwahiyo huyo mwigizaji ameigiza kama mtu anayefanana na Yesu.
 
Maelezo Na picha ni tofauti..
Picha ni muvi ya Passion of Christ (2004)si unaona pembeni yupo mtaalamu wangu Mel Gibaon. Maelezo ni ya Brian deacon
Uko sahihi mkuu, mleta mada katuchanganyia pilipili hoho na pilipili kichaa.
 
Mkuu ivi unajua maana ya sanamu?
Soma kitabu cha kumbukumbu la Torati kitakusaidia inawezekana unaabudu bila kujua ukibisha nakuwekea ushahidi. Wakatoriki wanaabudu sanamu.
Kama una ushahidi kuwa Wakatoriki wanabudu Sanamu basi wakatoriki sio Wakristo.
Wakristo wanamuabudu Mungu aliyeumba mbingu na nchi.
Hivyo usiseme,
Wakristo wanabudu sanamu,
Bali
sema
Wakatoriki wanaabudu sanamu.
 
Ila picha ulizopost ni za Waigizaji wawili tofauti ie. JC aliyeigiza The Passion of Christ aliyoongoza Mel Gibson na Brian Deacon aliyeigiza filam ya JESUS. Next time try to be precise plz!
 
Ila picha ulizopost ni za Waigizaji wawili tofauti ie. JC aliyeigiza The Passion of Christ aliyoongoza Mel Gibson na Brian Deacon aliyeigiza filam ya JESUS. Next time try to be precise plz!
Niliweka picha mbili nilijua kuna wengi wangeuliza lakini wote wametafsiri Kitabu cha Luka ila mmoja ndo watu wanamuita YESU. Nadhani Umeelewa Mkuu nakuwekea picha moja chini
FB_IMG_1541176953174.jpg
 
Nimekuelewa Mkuu, concern yangu ilikuwa moja tu, maelezo yako yalijikita kwa Brian Deacon, but picha umepost za waigizaji wawili tofauti. Kwa mtizamo wangu naona ingekuwa vema kutumia picha za BD pekee ili kuwa specific Mkuu. Otherwise uko Sahihi.
 
Vipi unashauri nini?
Je unahisi kwamba wakristo ( catholics) hawajui kwamba huyo ni muuigizaji tu ?
Nawahakikishia hawajui kabisa kuwa uyu ni muigizaji ndo maana wanag'ang'ana na picha zake, Wakuu jana nimetoka ofcn sielewani nao ata waislamu walinishambulia kuwa namshusha Issa bin mariamu.
Ushauri Makasisi(Wachungaji) watuombe msamaha kwamba walitudanganya nawawaeleze waumini wao kuwa uyu nikomedian aliyesoma na kutafsiri kwa matendo kitabu cha Luka.
 
Nimekuelewa Mkuu, concern yangu ilikuwa moja tu, maelezo yako yalijikita kwa Brian Deacon, but picha umepost za waigizaji wawili tofauti. Kwa mtizamo wangu naona ingekuwa vema kutumia picha za BD pekee ili kuwa specific Mkuu. Otherwise uko Sahihi.
[emoji120]
 
Pia maisha yake ya ndoa aliacha mke (alimtariki mke wake). Aisee huyu jamaa decon .

Hivi kwanini wakristo hasa RC hutumia picha take kama utambulisho Wa Yesu? Pundits Wa maswala ya dini naomba majibu.
Apa kuna mambo mawili tofauti, RC wanashughlika na dini na chimbuko la rc ni utawala wa Kirumi so wao wako kwenye utawala,mali,anasa na dini. Kumbuka wana dini ndio waliomsurubisha YESU kulikuwa Mafarisayo na Masadukayo na YESU hakujitanabaisha na dini yoyote.
Dini ni vyama kama CHADEMA CCM NK.

UKISOMA BIBLIA KUANZIA MWANZO MPAKA UFUNUO HAKUNA MAHALI POPOTE YESU ALIITWA MKIRISTO.
ila Ukisoma maelekezo ya YESU katika kitabu cha Mathayo 28:19 alisema "Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu,,

Mpaka apo hakujihusisa na jambo la kidini. Na kwakua hakukua na picha nashangaa ilikuwaje mpaka leo hakuna ata mchoraji aliyefanikiwa kuchora picha yake eidha kwenye mwamba au kwenye gome la mti.

So wote mlio na picha za uyu msanii mzichome nichukizo kwa Mungu.
 
Huyu ndiye aliyetufanya tukaijua dini mkuu hana shida yoyote,,, tunaomba maswali yako tukujibu
Kama unavaa rozari yenye picha yake unamtukuza nani ikizingatiwa Mungu alishasema "mimi ni Bwana Mungu wako usiwe na miungu mingine ila mimi"
Kwanini mnaenda kanisani ambapo kuna picha zake mnapiga magoti na kusujudu?
 
Umma upi mkuu? Wakristu si wote wanaoweka picture au msalaba kuwa na sanamu. Hiyo ya Sinema ni vasual presentation .Kama ilivyo katika vitabu vya historia na dini pia.Vitabu dini jinsi vinajieleza vina historia na vita maono ya mbele.Wether kaandika mweye historia(si tofauti na kujichora,kujirecord, ) au mwingine kumrekodi au kumwelezea alichokiona na kukisikia. Unapoelezea jambo uliloliona au kulisikia kuna audio and video picture ktk brain inayokuongoza kuelezea. Issue ya cinema ya Yesu kuna wapumbavu wataabudu, na kuna wapumbavu watajumlisha na kuharamisha tukio zima.
Kwanza kosoa apo hakuna Mkiristu badala yake ni MKIRISTO.

Mbili sipingi maigizo yake maana wengine ukiwafundisha kwa picha wanakuelewa haraka lakini wengine tunawafundisha kwa mifano.

Ninachokataa nikushindwa kutueleza kama ili ni igizo. Wala sio pengine,ndio maana nawataka viongozi wa dini waliosimamia show hii mpaka sasa watuombe radhi nakuwataka waumini wao wenye picha zake kuzitupilia mbaliiiii.....
 
Ila jaman nyie watu ni wagum kuelewa sasa hapa mambo ya YESU je ccm na chedema cjui yamekujaje mm na shangazwa[emoji17]
Soma Maelezo vizuri mkuu tumeenda mbali zaidi mpaka kwenye dini tukagundua dini nisawa na vyama.
Lakini YESU hahusiani na dini maana huwezi nipa msitari katika Biblia anapojiita mkiristo au alipowaelekeza wanafunzi kuwa Wakristo.


Uyu jamaa hafai kabisa.
FB_IMG_1541176953174.jpg
 
Back
Top Bottom