UNAUHAKIKA NA UNACHOONGEA AU UNAROPOKA TU?Ni kwl wakristo wanamuabudu hasa roman catholic (rc) hilo wala halina ubishi but mi nashangaa mnakataa nini mimi pia ni mkiristo,kwani mnapokuwa mnaisujudia sanamu yake hapo huwa mnafanya nini?? Jaman someni biblia wakristo wenzangu ili muijue kwl na sio kuabudu misanamu na mapicha ya huyo jamaa
Bongo kaja Obama,Bush,Michael Jack. Mtu mdogo sana huyo. Sio ajabu yeye kujaKwa taarifa yako huyo jamaa alishawahi kuja bongo
We we Koma, yani Yesu aka Mungu wetu alishawahi kuja Tanzania?Kwa taarifa yako huyo jamaa alishawahi kuja bongo
Yaan wako wengi mno, kwnza kitendo cha picha ya jamaa kuwepo katika nyumba za wengi wa waabudu wa dini hii ni ishara tosha kwamba jamaa kavikwa umasiah usiomuhusu.Kwani kuna mtu yoyote aliyeamini kuwa huyo ni Yesu?
Hakuna!kama yupo akapimwe Akili.
Na wahusika hawataki kusikia ukweli wa namna hiyo. Mambo yameachwa yajiendee ili lengo litimie, Kuna linalokusudia nyuma ya huo mchezoNia yangu sio kuingilia imani za wengine lakini wala kukadhifu imani za wengine lakini wakristo wengi ama kwa kutokujua au kujawa na imani wamejikuta wakimuabudi huyu jamaa kana kwamba yeye ana uhusiano wa moja kwa moja na yesu........na kiukweli ni wakristo wachache ambao hata ukiwauliza muda huu watakuambia huyo ni yesu na sio muigizaji wa filamu ya yesu....
Kiukweli kunahitajika elimu kwenye makanisa juu ya maelezo ya picha hiyo.....
Wenzako wanapinga kwa mpingo ulio mkuu but for real jamaa anaabudiwa kwa kiwango kikubwa tuNi kwl wakristo wanamuabudu hasa roman catholic (rc) hilo wala halina ubishi but mi nashangaa mnakataa nini mimi pia ni mkiristo,kwani mnapokuwa mnaisujudia sanamu yake hapo huwa mnafanya nini?? Jaman someni biblia wakristo wenzangu ili muijue kwl na sio kuabudu misanamu na mapicha ya huyo jamaa
Kuna ma porno star walisha cheza movie ya yesu!!Aliigiza vyema sana kwenye ile movie
Hivi kwa uigizaji ule kama angepata deal lingine la kucheza kama jambazi/katili angekubali??!
Hahaha huwezi kua seriousKuna ma porno star walisha cheza movie ya yesu!!
Mipango maalum imewekwa na hakuna namna ya kuchomoka kwenye huo mtego, asa kama viongozi tu wadini hiyo wako na such mentality how about those local believerswengi wa wakristo hasa wasio na elimu au wale walioshiba imani wanaamini huyu jamaa ndo yesu...kuna wamama ukiwaambia huyo sio yesu wanabishana na wanatamani wakutie makofi...kuna rafiki yangu alinambia aliwahi kumwambia mama yke aitoe picha ya huyo jamaa ndani mwao kwa kuwa jamaa sio yesu halisia...mama ake asitake kumuachia radhi nn,na kumwambia mwanae anapotoka!
kama hamuamini km ni yesu kwann kweny picha zake munamuandika YESU/JESUS na sio Brian!indirectly huyu jamaa ananasibishwa na yesu na hata kuabudiwa pia na mpk sanamu zipo za sura ya huyu muigizaji mjanja...inakera sana.
Kweli mkuu....nahisi wahusika wana malengo yao mengine tofauti na ya kiimani....Na wahusika hawataki kusikia ukweli wa namna hiyo. Mambo yameachwa yajiendee ili lengo litimie, Kuna linalokusudia nyuma ya huo mchezo