Huyu ndiye mwanamke mrembo kuliko wote duniani

yupo vizuri natamani nipate kama huyu, watu wakisema mbaya nazidi kumpenda hadi waseme nimepewa limbwata wamuogope
 
Eeeeh kaka nampa hongera huyu dada kutunza asili yake.
Lakin ingekuwa Tz angeshakunywa mkorogo mapeeemaa.
Ila mmmh sio kwa ublack manizo huo aisee.
Aah ni mrembo kwa mtazamo wako ila sio dunia nzima we mtu anachafua mkaa duuuuh
 
TAKO VP
 
Kuamini kwako hakuhalalishi uongo kuwa ukweli
Pharaoh ilikuwa MTU mweusi misiri ilikuwa nchi ya MTU mweusi
Ila mkuu kusema Wasudan ndio walikua wanamiliki misri hiyo chai tena yamoto kinyama.
Kasome history vizuri.
 
10000000000000000% pure ancient Jews.
South Sudan ni mojawapo ya nchi/watu wake hawazungumziwe kuwa ndio wana halisi wa Israel.
Mzee wewe unasema pure ancient jew mwenzako anatupa chai kuwa ni original Egyptians kabla waarabu hawajawafukuza.
Which is which ?!
 
Sipati picha mwili wake ulivyo na joto.
 
Mzee wewe unasema pure ancient jew mwenzako anatupa chai kuwa ni original Egyptians kabla waarabu hawajawafukuza.
Which is which ?!
Mzee mwenzangu rejea maandiko kitabu cha Ayubu.
 
Mkuu acha ujinga basi,hivi unaelewa maana ya Dunia nzima????
 
Ngoja nivae miwani nirudie kuangalia
 
wanawake wengi wa siku hizi wanakosa ile haruf ya asili ya uchi,sijui wanatumia sana madawa au ndo UTI imeharibu ile gland ya kike
wanatumia sana medicated soap halafu wanaosha nyapu kwa kuochokonoa ndani wanatoa no wonder wanaugua sana fangas ukeni
 
Wazungu hata wakimuona sokwe wanakwambia "too cute"
 
Eeeeh kaka nampa hongera huyu dada kutunza asili yake.
Lakin ingekuwa Tz angeshakunywa mkorogo mapeeemaa.
Ila mmmh sio kwa ublack manizo huo aisee.
Aah ni mrembo kwa mtazamo wako ila sio dunia nzima we mtu anachafua mkaa duuuuh
Hahaha Asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…