Prezidah
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 750
- 182
Hata kama atakuwa ni kiongozi mzuri kwenye usimamizi wa fedha bado ana tatizo moja kubwa sana tena sana ana jazba na kiburi na pia ni mzuri wa kuratibu mambo ya kiuharamia zaidi kuliko uzuri wake wa kiutendaji,Matukio mengi ya mauaji ya raia walio kinyume na ccm yaliwahi kutokea na yeye kutuhumiwa kuhusika kwa namna fulani kwa hiyo mtu kama huyu akiwa rais watakufa raia wengi sana wenda hata ww unaempigia upatu hapa mkiwa tofauti baadae atakupoteza ni vizuri watz tungekuwa tunaona mbali na kutafuta viongozi thabiti kwa faida yetu na ya kizazi kijacho
Hiyo pia ni sifa ya uongozi maana anaweza fanya kwa mafisadi wote