Huyu ndiye Mwigulu Nchemba

Huyu ndiye Mwigulu Nchemba

Jee kwenye tafiti za TWAWEZA kapewa asilimia ngapi? Au ndio kaangukia kwenye lile kundi la Others lenye asilimia 1.3 kwa ujumla wao?
Kumtaja Mwigulu na Urais ni sawa na ujuha uliopitiliza.
Maoni yangu juu ya 'kura ya maoni' juu ya uongozi wa Kisiasa iliyotolewa na Twaweza: Jana niliandika kwenye twitter handle yangu kuwa ni ngumu kuita hii kitu ya Twaweza inayojulikana kama Sauti za Wananchi 'Utafiti', at best would call it 'opinion polls'. Nadhani sikueleweka. Kisayansi 'utafiti' ule unapungukiwa vigezo vingi sana kiasi cha kuzua maswali mengi kwa msomaji makini kufikia kuhoji uhalali na nguvu ya kitakwimu (statistical power) ya matokeo yake. Wengi hawakunielewa zaidi niliposema kuwa matokeo yake ni mazuri kwangu kwa kila hali, kama nikitazama 'utafiti' ule kwa 'ubinafsi' wangu. Nadhani nawajibika kutoa maelezo zaidi ili nisieleweke vibaya na kwa lengo la kuweka kumbukumbu sahihi.

1. Kwanza ni kuwapongeza Twaweza kwa kuwa wabunifu katika kazi zao na kuamka kutumia njia za kisasa za kiteknolojia za kukusanya maoni ya wananchi kwa gharama nafuu na kwa haraka.

2. Kwa uelewa wangu utafiti una mapungufu makubwa kwenye namna watoa maoni wanavyopatikana kwenye tafiti hizi za twaweza zijulikanazo kama 'Sauti za wananchi'. Wamechaguliwa watu 2000 wakapewa simu bure na solar charger bure, halafu kila utafiti, kwenye kila issue huwa wanapigiwa hao hao kutoa maoni yao. Kwa utafiti huu waliotoa maoni ni 1445 kati ya walio katika mpango huu. Kuwapa hivyo vifaa kuna introduce ethical issues kwenye utafiti. Pia watafiti hawaelezi wanapataje watu 1445 kama ndiyo wawakilishi wa watanzania takriban milioni 45? Sampling frame ya 2000 ina sifa zipi na wanadhibiti vipi coverage bias na selection bias?

3. Pamoja na kwamba maoni ya hawa watu 1445 waliohojiwa hayakidhi vigezo vya kitakwimu vya kuwa generalizable kwa population yote, yanatoa mwangaza kuwa watanzania bado wana imani na CCM (chama changu), yanatoa picha kuwa kuna fursa pana kwa viongozi wa kizazi cha mabadiliko kuwania nafasi yoyote ile na kushinda kwa sababu, pamoja na umaarufu wa viongozi wa kizazi cha analogia, pamoja na kuwemo kwenye domain za umma kwa zaidi ya miaka 35, bado hawajaweza kuwashawishi watanzania kwa kiasi kikubwa! Kuna wengi kati yao hawajaamua wampe nani kura zao za Urais. Pia inatoa mwangaza kwamba kutakuwa na fursa pana kwa watu wapya kuingia majimboni na kutuamsha tuliopo sasa kukaa vizuri zaidi.

Japokuwa matokeo yanatupa moyo viongozi wapya kuendelea kujipanga, sitaki kutia wingu la 'ubinafsi' wangu kwenye maoni yangu kisayansi.

4. Ushauri kwa Twaweza: boresheni sampling technique ili ku-eliminate design biases na kuongeza authenticity, validity, reality na generalizability ya matokeo ya hizi tafiti zenu. Mkifanya hivyo mtakuwa mna tool nzuri sana ya utafiti wa kwenye jamii ambayo itasaidia sana kutupa taarifa wananchi na pia kuwezesha informed decision making.

Ahsanteni,
Dr. Hamisi Kigwangalla
Novemba 13, 2014.
Maoni yangu juu ya 'kura ya maoni' juu ya uongozi wa Kisiasa iliyotolewa na Twaweza: Jana niliandika kwenye twitter handle yangu kuwa ni ngumu kuita hii kitu ya Twaweza inayojulikana kama Sauti za Wananchi 'Utafiti', at best would call it 'opinion polls'. Nadhani sikueleweka. Kisayansi 'utafiti' ule unapungukiwa vigezo vingi sana kiasi cha kuzua maswali mengi kwa msomaji makini kufikia kuhoji uhalali na nguvu ya kitakwimu (statistical power) ya matokeo yake. Wengi hawakunielewa zaidi niliposema kuwa matokeo yake ni mazuri kwangu kwa kila hali, kama nikitazama 'utafiti' ule kwa 'ubinafsi' wangu. Nadhani nawajibika kutoa maelezo zaidi ili nisieleweke vibaya na kwa lengo la kuweka kumbukumbu sahihi.

1. Kwanza ni kuwapongeza Twaweza kwa kuwa wabunifu katika kazi zao na kuamka kutumia njia za kisasa za kiteknolojia za kukusanya maoni ya wananchi kwa gharama nafuu na kwa haraka.

2. Kwa uelewa wangu utafiti una mapungufu makubwa kwenye namna watoa maoni wanavyopatikana kwenye tafiti hizi za twaweza zijulikanazo kama 'Sauti za wananchi'. Wamechaguliwa watu 2000 wakapewa simu bure na solar charger bure, halafu kila utafiti, kwenye kila issue huwa wanapigiwa hao hao kutoa maoni yao. Kwa utafiti huu waliotoa maoni ni 1445 kati ya walio katika mpango huu. Kuwapa hivyo vifaa kuna introduce ethical issues kwenye utafiti. Pia watafiti hawaelezi wanapataje watu 1445 kama ndiyo wawakilishi wa watanzania takriban milioni 45? Sampling frame ya 2000 ina sifa zipi na wanadhibiti vipi coverage bias na selection bias?

3. Pamoja na kwamba maoni ya hawa watu 1445 waliohojiwa hayakidhi vigezo vya kitakwimu vya kuwa generalizable kwa population yote, yanatoa mwangaza kuwa watanzania bado wana imani na CCM (chama changu), yanatoa picha kuwa kuna fursa pana kwa viongozi wa kizazi cha mabadiliko kuwania nafasi yoyote ile na kushinda kwa sababu, pamoja na umaarufu wa viongozi wa kizazi cha analogia, pamoja na kuwemo kwenye domain za umma kwa zaidi ya miaka 35, bado hawajaweza kuwashawishi watanzania kwa kiasi kikubwa! Kuna wengi kati yao hawajaamua wampe nani kura zao za Urais. Pia inatoa mwangaza kwamba kutakuwa na fursa pana kwa watu wapya kuingia majimboni na kutuamsha tuliopo sasa kukaa vizuri zaidi.

Japokuwa matokeo yanatupa moyo viongozi wapya kuendelea kujipanga, sitaki kutia wingu la 'ubinafsi' wangu kwenye maoni yangu kisayansi.

4. Ushauri kwa Twaweza: boresheni sampling technique ili ku-eliminate design biases na kuongeza authenticity, validity, reality na generalizability ya matokeo ya hizi tafiti zenu. Mkifanya hivyo mtakuwa mna tool nzuri sana ya utafiti wa kwenye jamii ambayo itasaidia sana kutupa taarifa wananchi na pia kuwezesha informed decision making.

Ahsanteni,
Dr. Hamisi Kigwangalla
Novemba 13, 2014.
 

baada ya kumalizika kwa kamati kuu ya chama iliyoketi kwa siku mbili hapa dodoma,kamati kuu ilimpongeza mh mwigulu nchemba kwa jitihada zake za dhati katika kupambana na kuisaidia serikali hasa katika kukusanya kodi toka bilion300 hadi bilion 800 kwa mwezi pia kwa kutatua kero nyingi za walimu nchini.

Nikimnukuu kuhusu yeye kuwa rais anayependekezwa mh mwigulu anasema
“chama chetu ni chama cha utaratibu na mimi ndiye msimamizi mkuu ndani ya chama, kundi langu ni ccm, wana ccm wana matumaini makubwa na mimi ya kuwavusha katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu”.

Mwigulu ambaye ni naibu katibu mkuu wa ccm bara, naibu waziri wa fedha na uchumi, na mbunge wa jimbo la iramba mashariki, mwigulu nchemba.

Katika kipindi kifupi tangu kuteuliwa kwake katika nafasi ya naibu waziri wa fedha na uchumi, mwigulu ameonesha ni kwa kiasi gani alivyo na uwezo mkubwa katika uongozi na kusimamia ustawi wa nchi na watu wake.

Tumeweza kushuhudia hofu ya mwigulu pale aliposimama bungeni katika bunge maalumu la katiba kutoa tahadhari kuhusiana na fedha za walipa kodi.
Akiwa miongoni mwa viongozi tulionao nchini, aliweza kupatwa hofu ya fedha za walipa kodi kutumika ndivyo sivyo.

Hili si jambo la kupuuzia hata kidogo, bali ni jambo la kujivunia kuwa na kiongozi mwenye uthubutu katika kipindi hiki ambacho watanzania wanasumbuliwa na misigino ya kisiasa.

Katika mchango wake alionesha hofu yake ya kuendelea na majadiliano kwa siku 84 na hatimaye kushindwa kupata theluthi mbili za tanzania bara na theluthi mbili za tanzania visiwani ili kupitisha rasimu tayari kwa kupigiwa kura ya maoni na watanzania.
Mwigulu alifikia hatua ya kumtaka mwenyekiti wa bunge maalum la katiba afanye hesabu na kujiridhisha juu ya kupatikana kwa takwa hilo la kikatiba.

Hii ilikuwa ni hofu kuu. Ni hofu iliyotoka rohoni, isiyokuwa na chembe ya shaka. Aliweza kuona dalili za kulazimisha visivyolazimishwa.

Hofu inayolenga kuponya fedha za walipakodi wa nchi hii zinazoweza kutafunwa kwa siku 84 bila ya kupelekewa rasimu ya katiba kuipigia kura.

Ni hofu ya wengi, wachambuzi na wachokonozi wa kisiasa waliiona kauli ya mwigulu kama kuanza kushtuka kwa ccm na viongozi wake.

Mwenyekiti wa bunge hilo hakuweza kuiona hofu ya mwigulu, hakuufanyia kazi ushauri wa mjumbe wake, lakini naamini ya kuwa nafsi ya mwigulu ilikuwa huru baada ya kutoa dukuduku lake.

Kutokana na wadhifa wake ndani ya chama na serikali mwigulu amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha anasimamia fedha za walipa kodi wa nchi hii zisitumike vibaya bali kwa maslahi ya wote.

Tumeshuhudia ni kwa kiasi gani amesimamia fedha zilizokuwa zikiibwa kupitia mishahara hewa na kutoa angalizo kuhusiana na fedha hizo.

Nchi inao viongozi wengi, lakini viongozi aina ya mwigulu ni wa kuhesabu kama si kutafuta. Tunalo jukumu la pamoja kuhakikisha viongozi wetu wanatekeleza majukumu yao kama afanyavyo huyu ambaye ameonesha njia.

Tunalo jukumu kumhakikishia ya kuwa tunamuunga mkono katika utekelezaji wa majukumu yake na katika kulitumikia taifa letu na sio kumbeza kama ambavyo wengine wanafanya.
Pamoja na mwigulu kuwa naibu katibu mkuu ccm amekuwa akitimiza majukumu yake ya naibu waziri wa fedha bila ubaguzi jambo ambalo limekuwa adimu katika kipindi hili.

Tanzania yangu ya sasa inahitaji viongozi walio na utayari wa kuwatumikia wananchi wake, walio na uchungu na mali na raslimali za nchi na si vinginevyo.

“mimi sio matokeo ya jitihada za kundi lolote kufika hapa nilipo, niligombea ubunge nikiwa sijulikani na kundi lolote na wala sikutengenezwa na kundi lolote. Hata nilipokwenda kugombea sikuwa hata na baiskeli, pikipiki wala gari. Mimi sina kundi na wala sitokani na makundi yanayokinzana, sina kundi lolote ndani ya chama wala siegemei kundi lolote.”

“lililo jema ni kutokuwa na chuki wala ugomvi na wanaccm wenzangu. Sina sababu na wala sioni faida ya kuingia kwenye makundi katika ngazi hii na muda huu.” anasema.

Hii ni miongoni mwa kauli zilizowahi kutolewa na mwigulu, kauli inayopashwa kutolewa na kiongozi anayesimamia kile anachokiamini katika utekelezaji wa majukumu yake bila kuegemea upande wowote ule.

Tanzania ya kizazi hiki inahitaji viongozi wenye maono, wenye uthubutu wa kusema hapana sasa imetosha, viongozi walio na uchungu na ndugu zao kutokana na maisha wanayoyaishi.
Mwigulu nchemba ni miongoni mwa viongozi walioonesha msimamo wao katika kutetea kile wanachoamini kuwa ni kwa ajili ya watanzania wote na kwa faida ya wote.

Ni vyema tukasimama na kumuunga mkono yeye pamoja na viongozi watakao kuwa tayari kutimiza wajibu wao kama afanyavyo mwigulu.

Tunalo jukumu la kusimama pamoja na mwigulu kuhakikisha ya kuwa yale anayoyabainisha anayatetea bila hofu kwa faida yetu sote.

chanzo: dira ya mtanzania

watanzania bwanamuitaj prof. Anna tibaijuka ndo awe rais 2015 na sio vinginevyo
 

baada ya kumalizika kwa kamati kuu ya chama iliyoketi kwa siku mbili hapa dodoma,kamati kuu ilimpongeza mh mwigulu nchemba kwa jitihada zake za dhati katika kupambana na kuisaidia serikali hasa katika kukusanya kodi toka bilion300 hadi bilion 800 kwa mwezi pia kwa kutatua kero nyingi za walimu nchini.

Nikimnukuu kuhusu yeye kuwa rais anayependekezwa mh mwigulu anasema
“chama chetu ni chama cha utaratibu na mimi ndiye msimamizi mkuu ndani ya chama, kundi langu ni ccm, wana ccm wana matumaini makubwa na mimi ya kuwavusha katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu”.

Mwigulu ambaye ni naibu katibu mkuu wa ccm bara, naibu waziri wa fedha na uchumi, na mbunge wa jimbo la iramba mashariki, mwigulu nchemba.

Katika kipindi kifupi tangu kuteuliwa kwake katika nafasi ya naibu waziri wa fedha na uchumi, mwigulu ameonesha ni kwa kiasi gani alivyo na uwezo mkubwa katika uongozi na kusimamia ustawi wa nchi na watu wake.

Tumeweza kushuhudia hofu ya mwigulu pale aliposimama bungeni katika bunge maalumu la katiba kutoa tahadhari kuhusiana na fedha za walipa kodi.
Akiwa miongoni mwa viongozi tulionao nchini, aliweza kupatwa hofu ya fedha za walipa kodi kutumika ndivyo sivyo.

Hili si jambo la kupuuzia hata kidogo, bali ni jambo la kujivunia kuwa na kiongozi mwenye uthubutu katika kipindi hiki ambacho watanzania wanasumbuliwa na misigino ya kisiasa.

Katika mchango wake alionesha hofu yake ya kuendelea na majadiliano kwa siku 84 na hatimaye kushindwa kupata theluthi mbili za tanzania bara na theluthi mbili za tanzania visiwani ili kupitisha rasimu tayari kwa kupigiwa kura ya maoni na watanzania.
Mwigulu alifikia hatua ya kumtaka mwenyekiti wa bunge maalum la katiba afanye hesabu na kujiridhisha juu ya kupatikana kwa takwa hilo la kikatiba.

Hii ilikuwa ni hofu kuu. Ni hofu iliyotoka rohoni, isiyokuwa na chembe ya shaka. Aliweza kuona dalili za kulazimisha visivyolazimishwa.

Hofu inayolenga kuponya fedha za walipakodi wa nchi hii zinazoweza kutafunwa kwa siku 84 bila ya kupelekewa rasimu ya katiba kuipigia kura.

Ni hofu ya wengi, wachambuzi na wachokonozi wa kisiasa waliiona kauli ya mwigulu kama kuanza kushtuka kwa ccm na viongozi wake.

Mwenyekiti wa bunge hilo hakuweza kuiona hofu ya mwigulu, hakuufanyia kazi ushauri wa mjumbe wake, lakini naamini ya kuwa nafsi ya mwigulu ilikuwa huru baada ya kutoa dukuduku lake.

Kutokana na wadhifa wake ndani ya chama na serikali mwigulu amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha anasimamia fedha za walipa kodi wa nchi hii zisitumike vibaya bali kwa maslahi ya wote.

Tumeshuhudia ni kwa kiasi gani amesimamia fedha zilizokuwa zikiibwa kupitia mishahara hewa na kutoa angalizo kuhusiana na fedha hizo.

Nchi inao viongozi wengi, lakini viongozi aina ya mwigulu ni wa kuhesabu kama si kutafuta. Tunalo jukumu la pamoja kuhakikisha viongozi wetu wanatekeleza majukumu yao kama afanyavyo huyu ambaye ameonesha njia.

Tunalo jukumu kumhakikishia ya kuwa tunamuunga mkono katika utekelezaji wa majukumu yake na katika kulitumikia taifa letu na sio kumbeza kama ambavyo wengine wanafanya.
Pamoja na mwigulu kuwa naibu katibu mkuu ccm amekuwa akitimiza majukumu yake ya naibu waziri wa fedha bila ubaguzi jambo ambalo limekuwa adimu katika kipindi hili.

Tanzania yangu ya sasa inahitaji viongozi walio na utayari wa kuwatumikia wananchi wake, walio na uchungu na mali na raslimali za nchi na si vinginevyo.

“mimi sio matokeo ya jitihada za kundi lolote kufika hapa nilipo, niligombea ubunge nikiwa sijulikani na kundi lolote na wala sikutengenezwa na kundi lolote. Hata nilipokwenda kugombea sikuwa hata na baiskeli, pikipiki wala gari. Mimi sina kundi na wala sitokani na makundi yanayokinzana, sina kundi lolote ndani ya chama wala siegemei kundi lolote.”

“lililo jema ni kutokuwa na chuki wala ugomvi na wanaccm wenzangu. Sina sababu na wala sioni faida ya kuingia kwenye makundi katika ngazi hii na muda huu.” anasema.

Hii ni miongoni mwa kauli zilizowahi kutolewa na mwigulu, kauli inayopashwa kutolewa na kiongozi anayesimamia kile anachokiamini katika utekelezaji wa majukumu yake bila kuegemea upande wowote ule.

Tanzania ya kizazi hiki inahitaji viongozi wenye maono, wenye uthubutu wa kusema hapana sasa imetosha, viongozi walio na uchungu na ndugu zao kutokana na maisha wanayoyaishi.
Mwigulu nchemba ni miongoni mwa viongozi walioonesha msimamo wao katika kutetea kile wanachoamini kuwa ni kwa ajili ya watanzania wote na kwa faida ya wote.

Ni vyema tukasimama na kumuunga mkono yeye pamoja na viongozi watakao kuwa tayari kutimiza wajibu wao kama afanyavyo mwigulu.

Tunalo jukumu la kusimama pamoja na mwigulu kuhakikisha ya kuwa yale anayoyabainisha anayatetea bila hofu kwa faida yetu sote.

chanzo: dira ya mtanzania
watanzania wanamuitaji prof. Anna tibaijuka ndo awe rais 2015 na sio vinginevyo
 
Hakuna lolote, juzi tu alikuwa mtukanaji mzuri na ropokaji, leo tu kapewa madaraka tayari keshakuwa mwerevu, watanzania tunadanganyika kirahisi sana ndo maana tutaendelea kulia maisha yetu yote na nchi wataipukutisha.
Pamoja na kwamba maoni ya hawa watu 1445 waliohojiwa hayakidhi vigezo vya kitakwimu vya kuwa generalizable kwa population yote, yanatoa mwangaza kuwa watanzania bado wana imani na CCM (chama changu), yanatoa picha kuwa kuna fursa pana kwa viongozi wa kizazi cha mabadiliko kuwania nafasi yoyote ile na kushinda kwa sababu, pamoja na umaarufu wa viongozi wa kizazi cha analogia, pamoja na kuwemo kwenye domain za umma kwa zaidi ya miaka 35, bado hawajaweza kuwashawishi watanzania kwa kiasi kikubwa! Kuna wengi kati yao hawajaamua wampe nani kura zao za Urais. Pia inatoa mwangaza kwamba kutakuwa na fursa pana kwa watu wapya kuingia majimboni na kutuamsha tuliopo sasa kukaa vizuri zaidi.
 
MWIGULU NCHEMBA RAFIKI WA WALALA HOI, KIPENZI CHA VIJANA , ALAMA YA UZALENDO, UJASIRI NA UTHUBUTU
Kwa Mtanzania yoyote anaefuatilia siasa hili jina sio geni sana masikioni mwao, wapo waliolisikia jina hili kwa namna yoyote ile mbaya au nzuri leo nataka nimzungumzie Mwigulu Lameck Nchemba Mbunge wa Iramba Magharibi, Naibu Katibu Mkuu wa CCM na Naibu Waziri wa fedha kwa namna ninavyomjua na harakati zake za kisiasa ninavyozitazama.

Alizaliwa tarehe 7 January 1975 katika kijiji cha Makunda Wilaya ya Iramba katika familia ya kimaskini kabisa ambayo baba alijishughulisha na ufugaji, huku mama akijushughulisha na kilimo. Maisha ya utotoni ya Mwigulu Nchemba yamegubikwa na tabu nyingi na mara nyingi amekuwa akikiri aliishi kwa uji kutwa nzima na kukutana na mlo mmoja tu jioni hasa kutokana na muda mwingi kutumia kuchunga ng’ombe.

Maisha haya ya kushinda na wanyama porini mda mwingi na kukabiliana na wanyama wa hatari, hali ya hewa mbovu kama mvua kali au jua kali yalimjenga katika ujasiri ambao hadi leo hii anao nitauelezea badae Katika makala hii. Kama ilivyo ada familia za kifugaji kulea watoto katika misingi ya heshima, Upendo adabu na utu, Mwigulu Nchemba alikuzwa hivyo kuheshimu watu, na kuthamini utu wa Mtu na kuwa na upendo kwa binadamu wenzake.

Hata angezaliwa kwenye ukoo wa Malaika,kama mtu aliyejiingiza kwenye SIASA za CHUKI na kuamua kuua watu wasiyo na hatia ,waliokuwa wanategemewa na ndugu jamaa na watoto wao au familia zao kwa sababu tu wanaunga mkono wapinzani kwa hakika siwezi kujifunza chochote kwake.

Nimekwambia kwamba kama unamkuwadia NCHEMBA basi mwambie pia pasipo haya akatuombe radhi watanzania aliotuchukia na anaoendelea kutuchukia na hasa watu wa kaskazini na hii siyo kwa Nchemba tuu ni kwa jumuia yote ya wanaCCM,mkitaka tuwaamini kwanza mkajutie dhambi zenu mlizotundea Watanzania tusio nahatia sababu tu tunaamini tofauti na mnavyoamini,tunaitikadi tofauti na itikadi yenu ya WIZI,UJANGILI,RUSHWA,CHUKI na ulipizaji visasi.

Mkituomba radhi ,pia mtuambie na sababu zilizowafanya mfanye kama mlivyofanya.Vinginevyo,hata ukipiga baragumu tumkubali huyo MUUAJI NCHEMBA halitasikika,kwetu sisi ni MUUAJI na tabaki kuwa MUUAJI,na hili siyo lakuambiwa limetoka ndani ya MOYO wangu,na ninakwambia ukweli wa dhati kabisa,ombeni radhi,na muache mara moja hizo siasa za chuki na mauaji., bila hivyo wewe,Nchemba na wenzako wenye kaliba ya NCHEMBA tutawaweka kwenye kundi la wa UAJI mapka pale mtakapoamua kujibadilisha kwa dhati na kuomba radhi kwa jamii ya kitanzania tulitendewa maovu sababi tu tuko tofauti nanyi.

Pole Acer,unajisumbua kunilazimisha kuamini kama uaminivyo sababu tu umepewa vijisenti umsafishe.Hakika kama alishindwa kujisafisha kwenye MTO hawezi kujisafisha kwenye DIMBWI akatakata.
 
Masikini nchi yangu... Handi Nchemba?... Allah nitoe roho niepuke hili balaa!!!!
 

baada ya kumalizika kwa kamati kuu ya chama iliyoketi kwa siku mbili hapa dodoma,kamati kuu ilimpongeza mh mwigulu nchemba kwa jitihada zake za dhati katika kupambana na kuisaidia serikali hasa katika kukusanya kodi toka bilion300 hadi bilion 800 kwa mwezi pia kwa kutatua kero nyingi za walimu nchini.

Nikimnukuu kuhusu yeye kuwa rais anayependekezwa mh mwigulu anasema
“chama chetu ni chama cha utaratibu na mimi ndiye msimamizi mkuu ndani ya chama, kundi langu ni ccm, wana ccm wana matumaini makubwa na mimi ya kuwavusha katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu”.

Mwigulu ambaye ni naibu katibu mkuu wa ccm bara, naibu waziri wa fedha na uchumi, na mbunge wa jimbo la iramba mashariki, mwigulu nchemba.

Katika kipindi kifupi tangu kuteuliwa kwake katika nafasi ya naibu waziri wa fedha na uchumi, mwigulu ameonesha ni kwa kiasi gani alivyo na uwezo mkubwa katika uongozi na kusimamia ustawi wa nchi na watu wake.

Tumeweza kushuhudia hofu ya mwigulu pale aliposimama bungeni katika bunge maalumu la katiba kutoa tahadhari kuhusiana na fedha za walipa kodi.
Akiwa miongoni mwa viongozi tulionao nchini, aliweza kupatwa hofu ya fedha za walipa kodi kutumika ndivyo sivyo.

Hili si jambo la kupuuzia hata kidogo, bali ni jambo la kujivunia kuwa na kiongozi mwenye uthubutu katika kipindi hiki ambacho watanzania wanasumbuliwa na misigino ya kisiasa.

Katika mchango wake alionesha hofu yake ya kuendelea na majadiliano kwa siku 84 na hatimaye kushindwa kupata theluthi mbili za tanzania bara na theluthi mbili za tanzania visiwani ili kupitisha rasimu tayari kwa kupigiwa kura ya maoni na watanzania.
Mwigulu alifikia hatua ya kumtaka mwenyekiti wa bunge maalum la katiba afanye hesabu na kujiridhisha juu ya kupatikana kwa takwa hilo la kikatiba.

Hii ilikuwa ni hofu kuu. Ni hofu iliyotoka rohoni, isiyokuwa na chembe ya shaka. Aliweza kuona dalili za kulazimisha visivyolazimishwa.

Hofu inayolenga kuponya fedha za walipakodi wa nchi hii zinazoweza kutafunwa kwa siku 84 bila ya kupelekewa rasimu ya katiba kuipigia kura.

Ni hofu ya wengi, wachambuzi na wachokonozi wa kisiasa waliiona kauli ya mwigulu kama kuanza kushtuka kwa ccm na viongozi wake.

Mwenyekiti wa bunge hilo hakuweza kuiona hofu ya mwigulu, hakuufanyia kazi ushauri wa mjumbe wake, lakini naamini ya kuwa nafsi ya mwigulu ilikuwa huru baada ya kutoa dukuduku lake.

Kutokana na wadhifa wake ndani ya chama na serikali mwigulu amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha anasimamia fedha za walipa kodi wa nchi hii zisitumike vibaya bali kwa maslahi ya wote.

Tumeshuhudia ni kwa kiasi gani amesimamia fedha zilizokuwa zikiibwa kupitia mishahara hewa na kutoa angalizo kuhusiana na fedha hizo.

Nchi inao viongozi wengi, lakini viongozi aina ya mwigulu ni wa kuhesabu kama si kutafuta. Tunalo jukumu la pamoja kuhakikisha viongozi wetu wanatekeleza majukumu yao kama afanyavyo huyu ambaye ameonesha njia.

Tunalo jukumu kumhakikishia ya kuwa tunamuunga mkono katika utekelezaji wa majukumu yake na katika kulitumikia taifa letu na sio kumbeza kama ambavyo wengine wanafanya.
Pamoja na mwigulu kuwa naibu katibu mkuu ccm amekuwa akitimiza majukumu yake ya naibu waziri wa fedha bila ubaguzi jambo ambalo limekuwa adimu katika kipindi hili.

Tanzania yangu ya sasa inahitaji viongozi walio na utayari wa kuwatumikia wananchi wake, walio na uchungu na mali na raslimali za nchi na si vinginevyo.

“mimi sio matokeo ya jitihada za kundi lolote kufika hapa nilipo, niligombea ubunge nikiwa sijulikani na kundi lolote na wala sikutengenezwa na kundi lolote. Hata nilipokwenda kugombea sikuwa hata na baiskeli, pikipiki wala gari. Mimi sina kundi na wala sitokani na makundi yanayokinzana, sina kundi lolote ndani ya chama wala siegemei kundi lolote.”

“lililo jema ni kutokuwa na chuki wala ugomvi na wanaccm wenzangu. Sina sababu na wala sioni faida ya kuingia kwenye makundi katika ngazi hii na muda huu.” anasema.

Hii ni miongoni mwa kauli zilizowahi kutolewa na mwigulu, kauli inayopashwa kutolewa na kiongozi anayesimamia kile anachokiamini katika utekelezaji wa majukumu yake bila kuegemea upande wowote ule.

Tanzania ya kizazi hiki inahitaji viongozi wenye maono, wenye uthubutu wa kusema hapana sasa imetosha, viongozi walio na uchungu na ndugu zao kutokana na maisha wanayoyaishi.
Mwigulu nchemba ni miongoni mwa viongozi walioonesha msimamo wao katika kutetea kile wanachoamini kuwa ni kwa ajili ya watanzania wote na kwa faida ya wote.

Ni vyema tukasimama na kumuunga mkono yeye pamoja na viongozi watakao kuwa tayari kutimiza wajibu wao kama afanyavyo mwigulu.

Tunalo jukumu la kusimama pamoja na mwigulu kuhakikisha ya kuwa yale anayoyabainisha anayatetea bila hofu kwa faida yetu sote.

chanzo: dira ya mtanzania
tunataka rais mwanamke na awe msomi yani profesa na awe na uzoefu wa kimataifa kama prof. Anna kajumulo tibaijuka 2015
 
Wewe ndie unamkubali usijumuishe na wenzio kisa umepewa kitu upige debe... Eti mwigulu nae awe rais ptuuu!
 
Hata angezaliwa kwenye ukoo wa Malaika,kama mtu aliyejiingiza kwenye SIASA za CHUKI na kuamua kuua watu wasiyo na hatia ,waliokuwa wanategemewa na ndugu jamaa na watoto wao au familia zao kwa sababu tu wanaunga mkono wapinzani kwa hakika siwezi kujifunza chochote kwake.

Nimekwambia kwamba kama unamkuwadia NCHEMBA basi mwambie pia pasipo haya akatuombe radhi watanzania aliotuchukia na anaoendelea kutuchukia na hasa watu wa kaskazini na hii siyo kwa Nchemba tuu ni kwa jumuia yote ya wanaCCM,mkitaka tuwaamini kwanza mkajutie dhambi zenu mlizotundea Watanzania tusio nahatia sababu tu tunaamini tofauti na mnavyoamini,tunaitikadi tofauti na itikadi yenu ya WIZI,UJANGILI,RUSHWA,CHUKI na ulipizaji visasi.

Mkituomba radhi ,pia mtuambie na sababu zilizowafanya mfanye kama mlivyofanya.Vinginevyo,hata ukipiga baragumu tumkubali huyo MUUAJI NCHEMBA halitasikika,kwetu sisi ni MUUAJI na tabaki kuwa MUUAJI,na hili siyo lakuambiwa limetoka ndani ya MOYO wangu,na ninakwambia ukweli wa dhati kabisa,ombeni radhi,na muache mara moja hizo siasa za chuki na mauaji., bila hivyo wewe,Nchemba na wenzako wenye kaliba ya NCHEMBA tutawaweka kwenye kundi la wa UAJI mapka pale mtakapoamua kujibadilisha kwa dhati na kuomba radhi kwa jamii ya kitanzania tulitendewa maovu sababi tu tuko tofauti nanyi.

Pole Acer,unajisumbua kunilazimisha kuamini kama uaminivyo sababu tu umepewa vijisenti umsafishe.Hakika kama alishindwa kujisafisha kwenye MTO hawezi kujisafisha kwenye DIMBWI akatakata.
BREAKING NEWZZZ KUTOKA DODOMA,SAA 12 JIONI YA LEO MACHO NA MASIKIO YOTE KUELEKEZWA BUNGENI DODOMA.

NI SAUTI YA MTETEZI WA WANYONGE NA MASIKINI ITAVUMA NCHI NZIMA.

CHUKUA NAFASI HIII KUUTAARIFU UMMA WA WATANZANIA KUWA MTOTO WA MFUGAJI NA SOKOINE WA PILI ANACHANGIA SAA 12 NDANI YA UKUMBI WA BUNGE.
Ni katika hoja ya sheria ya utawala wa Kodi.
Leo Naibu waziri wa Fedha ndg Mwigulu Nchemba ataongea bungen kuhusu sheria ya utawala wa kodi. Mwigulu amekuwa akipambana kufa na kupona kuhakikisha kodi inalipwa. Mwigulu ambaye agenda yake ya urais inalenga TAIFA kujitegemea kimapato ili kuwapa huduma watanzania masikini, ameonesha kwa vitendo kuwa ana dhamira ya dhati ya kuongeza makusanyo ili seikali itekeleze niradi ya maendeleo.
Mwigulu amekamata wakwepa kodi na sasa ametimiza ahadi yake kwa kufuta misamaha na sasa sheria imeletwa kuondoa kasoro za kisheria.
LICHA YA REKODI YA KIPEE KABISA yakuwa Waziri wa Kwanza Kupambana na Wakwepa kodi na Matumizi mabaya ya pesa za Umma,Mwigulu Nchemba pia ndiye Kiongozi pekee akiyeamua kusimamia Maslahi ya wanyonge na Masikini kwa nguvu zote.
HIVYO Watanzania hatuna sababu ya Kuacha Kumuunga mkono Mbunge huyu na Waziri huyu wa Taifa hili.
Songela Mwigulu Nchemba,GO GO GO GO GO

Tukutane saa 12 hii leo Tar.13.11.2014 kwenye TBC1 BUNGENI LIVE.
 
Wewe ndie unamkubali usijumuishe na wenzio kisa umepewa kitu upige debe... Eti mwigulu nae awe rais ptuuu!
LICHA YA REKODI YA KIPEE KABISA yakuwa Waziri wa Kwanza Kupambana na Wakwepa kodi na Matumizi mabaya ya pesa za Umma,Mwigulu Nchemba pia ndiye Kiongozi pekee akiyeamua kusimamia Maslahi ya wanyonge na Masikini kwa nguvu zote.

HIVYO Watanzania hatuna sababu ya Kuacha Kumuunga mkono Mbunge huyu na Waziri huyu wa Taifa hili.

Songela Mwigulu Nchemba,GO GO GO GO GO
 
BREAKING NEWZZZ KUTOKA DODOMA,SAA 12 JIONI YA LEO MACHO NA MASIKIO YOTE KUELEKEZWA BUNGENI DODOMA.

NI SAUTI YA MTETEZI WA WANYONGE NA MASIKINI ITAVUMA NCHI NZIMA.

CHUKUA NAFASI HIII KUUTAARIFU UMMA WA WATANZANIA KUWA MTOTO WA MFUGAJI NA SOKOINE WA PILI ANACHANGIA SAA 12 NDANI YA UKUMBI WA BUNGE.
Ni katika hoja ya sheria ya utawala wa Kodi.
Leo Naibu waziri wa Fedha ndg Mwigulu Nchemba ataongea bungen kuhusu sheria ya utawala wa kodi. Mwigulu amekuwa akipambana kufa na kupona kuhakikisha kodi inalipwa. Mwigulu ambaye agenda yake ya urais inalenga TAIFA kujitegemea kimapato ili kuwapa huduma watanzania masikini, ameonesha kwa vitendo kuwa ana dhamira ya dhati ya kuongeza makusanyo ili seikali itekeleze niradi ya maendeleo.
Mwigulu amekamata wakwepa kodi na sasa ametimiza ahadi yake kwa kufuta misamaha na sasa sheria imeletwa kuondoa kasoro za kisheria.
LICHA YA REKODI YA KIPEE KABISA yakuwa Waziri wa Kwanza Kupambana na Wakwepa kodi na Matumizi mabaya ya pesa za Umma,Mwigulu Nchemba pia ndiye Kiongozi pekee akiyeamua kusimamia Maslahi ya wanyonge na Masikini kwa nguvu zote.
HIVYO Watanzania hatuna sababu ya Kuacha Kumuunga mkono Mbunge huyu na Waziri huyu wa Taifa hili.
Songela Mwigulu Nchemba,GO GO GO GO GO

Tukutane saa 12 hii leo Tar.13.11.2014 kwenye TBC1 BUNGENI LIVE.

Ameweza kuwaambia wezi wenzake watuletee ripoti yetu ya IPTL?Kama bado basi hatufai hata kwa kuchunga panya.Nimekwambia hivi hata angetoka kwenye familia ya MALAIKA kwa tabia yake aliyotuonyesha ya UAJI,Chuki nk hataufanyeje sibadili msimamo wangu.

Nimekwambiaa masharti umwambia huyo nayejitahidi kumsafisha,mwambie kama alishindwa kusisafisha ZIWANI hawezi kwenye DIMBWI.Ni kama kambale anayeogelea kwenye tope.
 
BREAKING NEWZZZ KUTOKA DODOMA,SAA 12 JIONI YA LEO MACHO NA MASIKIO YOTE KUELEKEZWA BUNGENI DODOMA.

NI SAUTI YA MTETEZI WA WANYONGE NA MASIKINI ITAVUMA NCHI NZIMA.

CHUKUA NAFASI HIII KUUTAARIFU UMMA WA WATANZANIA KUWA MTOTO WA MFUGAJI NA SOKOINE WA PILI ANACHANGIA SAA 12 NDANI YA UKUMBI WA BUNGE.
Ni katika hoja ya sheria ya utawala wa Kodi.
Leo Naibu waziri wa Fedha ndg Mwigulu Nchemba ataongea bungen kuhusu sheria ya utawala wa kodi. Mwigulu amekuwa akipambana kufa na kupona kuhakikisha kodi inalipwa. Mwigulu ambaye agenda yake ya urais inalenga TAIFA kujitegemea kimapato ili kuwapa huduma watanzania masikini, ameonesha kwa vitendo kuwa ana dhamira ya dhati ya kuongeza makusanyo ili seikali itekeleze niradi ya maendeleo.
Mwigulu amekamata wakwepa kodi na sasa ametimiza ahadi yake kwa kufuta misamaha na sasa sheria imeletwa kuondoa kasoro za kisheria.
LICHA YA REKODI YA KIPEE KABISA yakuwa Waziri wa Kwanza Kupambana na Wakwepa kodi na Matumizi mabaya ya pesa za Umma,Mwigulu Nchemba pia ndiye Kiongozi pekee akiyeamua kusimamia Maslahi ya wanyonge na Masikini kwa nguvu zote.
HIVYO Watanzania hatuna sababu ya Kuacha Kumuunga mkono Mbunge huyu na Waziri huyu wa Taifa hili.
Songela Mwigulu Nchemba,GO GO GO GO GO

Tukutane saa 12 hii leo Tar.13.11.2014 kwenye TBC1 BUNGENI LIVE.
 
Ameweza kuwaambia wezi wenzake watuletee ripoti yetu ya IPTL?Kama bado basi hatufai hata kwa kuchunga panya.Nimekwambia hivi hata angetoka kwenye familia ya MALAIKA kwa tabia yake aliyotuonyesha ya UAJI,Chuki nk hataufanyeje sibadili msimamo wangu.

Nimekwambiaa masharti umwambia huyo nayejitahidi kumsafisha,mwambie kama alishindwa kusisafisha ZIWANI hawezi kwenye DIMBWI.Ni kama kambale anayeogelea kwenye tope.
Wizi wa Pesa za EPA BOT zilifanyika 2006

mwigulu akiwa chuo pale UDSM anasoma na sio

mwajiriwa wa BOT. Wizi wa pesa za ESCROW ac

zimeliwa dec 2013 mwigulu hakuwa

wizarani.mwigulu ameingia wizara ya Fedha

mwaka huu mwezi wa pili ndio maana kafulila

alisema hata kifo cha Dk Mgimwa

kingechunguzwa maana pesa ya Escrow ililipwa

Dk Mgimwa akiwa hospital south Africa. Mwigulu

ndie Rais wetu 2015 na huwezi mchafua maana hachafuki.
 
Ameweza kuwaambia wezi wenzake watuletee ripoti yetu ya IPTL?Kama bado basi hatufai hata kwa kuchunga panya.Nimekwambia hivi hata angetoka kwenye familia ya MALAIKA kwa tabia yake aliyotuonyesha ya UAJI,Chuki nk hataufanyeje sibadili msimamo wangu.

Nimekwambiaa masharti umwambia huyo nayejitahidi kumsafisha,mwambie kama alishindwa kusisafisha ZIWANI hawezi kwenye DIMBWI.Ni kama kambale anayeogelea kwenye tope.
Uzalendo sio kuzungumzia escrow tu!!! Kama watu wameshazungumza yeye nae azungumze ile iweje!!! Tusubiri report ndio utajua atazungumza au laaa!!! Sio kupigapiga makelele ili tu na wewe uonekane unajua issue ya escrow! !!
Kuna baadhi ya wabunge hata hio issue ya escrow hawaijui but mikelele tu na umaarufu wa kirahisirahisi
 
Wizi wa Pesa za EPA BOT zilifanyika 2006

mwigulu akiwa chuo pale UDSM anasoma na sio

mwajiriwa wa BOT. Wizi wa pesa za ESCROW ac

zimeliwa dec 2013 mwigulu hakuwa

wizarani.mwigulu ameingia wizara ya Fedha

mwaka huu mwezi wa pili ndio maana kafulila

alisema hata kifo cha Dk Mgimwa

kingechunguzwa maana pesa ya Escrow ililipwa

Dk Mgimwa akiwa hospital south Africa. Mwigulu

ndie Rais wetu 2015 na huwezi mchafua maana hachafuki.

Na inaelekea ndiye aliyemmaliza Mgimwa wetu.Maana alianza kutoa ugonjwa ambao hata mwanafamilia aliyekuwa naye hospitali hakuujua,lakini Mwigulu aliujua.ndiyo hapo unapokuja sasa kuniamini kwamba Mwigulu ni muuaji tu hatufai hata kuchunga panya na sina uhakika kama hata huo UBUNGE atapata.

Mwenyewe umekaza kumpigia debe mpaka unatia huruma.Anakulipa shilingi ngapi?Au ndiye mwenyewe Mwigulu unajipigia debe.Poor your.Yaani kwanini usmfanye moja awe mumeo au kiongozi wa familia yako kama unamuona ni mzuri sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.Pumbavu kabisa nyie watu mnaotumika mnashindwa hata kutumia akili zenu.
 
Back
Top Bottom