kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Deiwaka.. huyo rafiki yangu anauzwa 2500/= pesa za kitanzania hapa mtaani kwetu.Then, hela ya kumnunua huyo rafiki yako unatoa wapi
Sidhani mkuuNa Huyo Rafiki Yako Kipenzi Najua
MTAACHANA Tu Acha Tuone!!
Taarifa Yake Wajumbe WameikataaAsante kwa taarifa.
Kwa nini mmeikataa mkuuTaarifa Yake Wajumbe Wameikataa
Hawajaridhishwa Na HojaKwa nini mmeikataa mkuu
Hayo Siyo Mapenzi Ni MahabaSidhani mkuu
nakazia wataachana tuNa Huyo Rafiki Yako Kipenzi Najua
MTAACHANA Tu Acha Tuone!!