Huyu ndiye rafiki na kipenzi cha maisha yangu

Huyu ndiye rafiki na kipenzi cha maisha yangu

Sina hela,sina kazi,ma HR wa humu jf nao hawataki kutushika mikono wenzao ili nasi tuwe binadamu kama wao,yani kwa kifupi ni fully vurugu tu.
Nimeamua huyu jamaa ndiyo awe rafiki kipenzi wa maisha yangu.
Asante

View attachment 2167385
Kuwa makini usiwe unakunywa kila siku, utakuwa na high tolerance na utaanza kuwa mlevi na siyo mnywaji tena.
Kwa upande wangu nimekuwa mlevi maana kila siku lazima ni pop bottles.
 
Sina hela,sina kazi,ma HR wa humu jf nao hawataki kutushika mikono wenzao ili nasi tuwe binadamu kama wao,yani kwa kifupi ni fully vurugu tu.
Nimeamua huyu jamaa ndiyo awe rafiki kipenzi wa maisha yangu.
Asante

View attachment 2167385
Hakika, si kwa tabu za nchii na mateso tunayopitia watanzania ni mwendo wa kulamba adi kaka yake na huyo rafiki yako yaan wakina ambience, na wakina shimhua.
 
Ni vile ujui. Tu....

Hakuna tulizo la nafs kama Ibada!!!!


Uwe mkristo....ama ..muislam!!!
Wakat wa magum Kama haya we zidisha Ibada tuu
....

I swear...,. Utafanikisha yote magumu:
 
Back
Top Bottom