Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Aiseee kwa hio ndio kosa alilolifanya? ila yeye si alikua Mmarekani mwenye asili ya China mkuu,Aliuchukua utamaduni wa china akaupeleka kwa wazungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee kwa hio ndio kosa alilolifanya? ila yeye si alikua Mmarekani mwenye asili ya China mkuu,Aliuchukua utamaduni wa china akaupeleka kwa wazungu.
Ndio sasa si wajua wazungu kwa kuiba tamaduni za wenzao.Waliutumia uasili wake wa kichina kuiba mambo ya ki wushu wushu.Aiseee kwa hio ndio kosa alilolifanya? ila yeye si alikua Mmarekani mwenye asili ya China mkuu,
Bruce lee alikua mwenye kiburi, jeuri na kujisikia saana.. alijiona ndo mover wa chinese movie industry.. na hii ndo ilipelekea mwisho wakeBRUCE LEE aliweka rekodi ya dunia baada ya kupiga push up 200 kwa kutumia vidole viwili vya mkono moja na kurusha punje ya mchele hewani na kuidaka kwa kutumia kijiti chembamba Cha kulia chakula(chop stick).
BRUCE LEE alizaliwa tarehe 27 november 1940 California marekani na alifariki tarehe 20 July 1973 Hong Kong akiwa na miaka 32.
Alikua mtu mwenye Ego na Aura sana.. hiyo iliwakwaza wachina wenzie..Inasemekana wale Mashaolin wa Kichina hawakupendezwa na Bruce Lee kuwafundisha wazungu The heart of martial arts ambayo kimsingi ni Chinese traditional.
Kuna kila aina ya ushahidi Bruce Lee aliuwawa.
Kwa hio alikua anaiba tamaduni za wachina anazihamishia America, km spy next door fulani hivi au?Ndio sasa si wajua wazungu kwa kuiba tamaduni za wenzao.Waliutumia uasili wake wa kichina kuiba mambo ya ki wushu wushu.
Kwa china ule upiganaji ulikuwa ni asili yao , ni utamaduni sasa yeye kaupeleka ugenini hili jambo halikukubalika.Kwa hio alikua anaiba tamaduni za wachina anazihamishia America, km spy next door fulani hivi au?
Aliwahi kurecord film ya kitamaduni ya kichina.. alipomaliza scene ya mwisho alikorofishana na director akaharibu mkanda mzima waliorekodi kuanzia mwanzo.Kwa hio alikua anaiba tamaduni za wachina anazihamishia America, km spy next door fulani hivi au?
Kwa hio kaamisha utamaduni bila ridhaa ya wenye tamaduni yao, hilo ndio kosa lake?Kwa china ule upiganaji ulikuwa ni asili yao , ni utamaduni sasa yeye kaupeleka ugenini hili jambo halikukubalika.
Hio film alirecord China au America?Aliwahi kurecord film ya kitamaduni ya kichina.. alipomaliza scene ya mwisho alikorofishana na director akaharibu mkanda mzima waliorekodi kuanzia mwanzo.
Jack Chan mtoe muongo sana huyo!Hapana, movie zake ni local sana, ni mara mia niwaangalie Jet Lee, Do Yen na Jack Chan
Huwezi zielewa in normal thinking brain. Jamaa mpaka mafundisho yake yanatumika in normal life. Chukua hii " I fear a man who practiced one kicks 10000 times but I don't fear a man who practiced 10000 kicks once.Sijawahi kuzipenda wala kuzielewa muvi za huyu jamaa
Ama series za kifilipino[emoji122][emoji122] tena kwa mwanaume inashangaza[emoji849][emoji849]
Ila kusema ukweli jamaa alikuwa Yuko mbali mno kwa fani iyo ama Ni uwongo. Hakuna aliyeivunja iyo rekodi mpaka keshoAlikua mtu mwenye Ego na Aura sana.. hiyo iliwakwaza wachina wenzie..
Pia inasemekana Brandon Lee aliuwawa ili kuondoa kizazi cha Bruce LeeBruce alikuwa mmarekani mwenye asili ya china because USA KWAKE NI COUNTRY OF BIRTH NA CHINA NI COUNTRY OF HIS ORIGIN MKE WAKE LINDA LEE NI MZUNGU MWANAE WA KIUME ALIKUFA BRANDON LEE WA THE CROW KWAIYO KABAKI BINTI YAKE NA MKE WAKE TU
BRUCE LEE aliweka rekodi ya dunia baada ya kupiga push up 200 kwa kutumia vidole viwili vya mkono moja na kurusha punje ya mchele hewani na kuidaka kwa kutumia kijiti chembamba Cha kulia chakula(chop stick).
BRUCE LEE alizaliwa tarehe 27 november 1940 California marekani na alifariki tarehe 20 July 1973 Hong Kong akiwa na miaka 32.
BRUCE LEE nguvu ya ngumi yake(punching force) ilikuwa na kilo 158 sawa na MOHAMMED ALI,lakini maajabu Bluce Lee alikuwa na kilo 58 na Mohammed ali kilo 117.
Bruce Lee alikuwa na uwezo wa kupiga ngumi Tisa kwa sekunde moja, na ngumi yake ya inchi moja(one inch punch)ilikuwa na uwezo wa kumrudisha nyuma mita 5-6 mwanaume mwenye kilo 68.
Alikuwa na uwezo wa kupiga mateke Tisa kwa sekunde moja,alipiga teke kiroba Cha mchanga chenye kilo 135 na kuruka urefu wa futi tano kwenda juu.Alikuwa na uwezo wa kufungua kizibo Cha soda kwa kutumia vidole viwili.
Aliweka rekodi ya dunia kwa kupiga push up 1500 kwa mikono miwili bila kupumzika,push up 400 kwa mkono moja,push up 200 kwa kutumia vidole viwili vya mkono moja,na push up 100 kwa kidole gumba Cha mkono moja.
Bruce Lee alikuwa mchina wa Kwanza kurekodi filamu Hollywood marekani.katika sanaa ya kupigana(martial art)Bruce Lee pekee ndiye alievunja rekodi ya dunia mara kumi ndani ya miaka 2 tu.
NdioKwa hio kaamisha utamaduni bila ridhaa ya wenye tamaduni yao, hilo ndio kosa lake?
🤣🤣🤣 sasa huyu Jackie Chan ndo mkweli kuliko Donnie Yen na Jet Li.Jack Chan mtoe muongo sana huyo!
Fist of fury? alionekana pale makaburini kwenye kumzika teacher au?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa huyu Jackie Chan ndo mkweli kuliko Donnie Yen na Jet Li.
Jackie Chan huwa hadi anaumiaga karibu kufa kwenye stunts zake
Jackie ni mkongwe sana alionekana kwenye movie mbili za Bruce Lee zinaitwa Fist of Fury na Enter the Dragon