Huyu ndiyo Bruce Lee

Bruce lee alikua mwenye kiburi, jeuri na kujisikia saana.. alijiona ndo mover wa chinese movie industry.. na hii ndo ilipelekea mwisho wake
 
Inasemekana wale Mashaolin wa Kichina hawakupendezwa na Bruce Lee kuwafundisha wazungu The heart of martial arts ambayo kimsingi ni Chinese traditional.

Kuna kila aina ya ushahidi Bruce Lee aliuwawa.
Alikua mtu mwenye Ego na Aura sana.. hiyo iliwakwaza wachina wenzie..
 
Bruce alikuwa mmarekani mwenye asili ya china because USA KWAKE NI COUNTRY OF BIRTH NA CHINA NI COUNTRY OF HIS ORIGIN MKE WAKE LINDA LEE NI MZUNGU MWANAE WA KIUME ALIKUFA BRANDON LEE WA THE CROW KWAIYO KABAKI BINTI YAKE NA MKE WAKE TU
Pia inasemekana Brandon Lee aliuwawa ili kuondoa kizazi cha Bruce Lee
 
 
Fist of fury? alionekana pale makaburini kwenye kumzika teacher au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…