Huyu ndiyo Bruce Lee

Huyu ndiyo Bruce Lee

Sijawahi kuzipenda wala kuzielewa muvi za huyu jamaa
Katika Hili inategemea na umri wako na mazingira ulipo kulia

Vijana wa miaka ya 80 hawatakuelewa kabisa maana movie za Bruce Lee enzi zake zilikuwa hazina mpinzani

Na kama ulikuwa kijana wa miaka hiyo 80 basi itakuwa umekulia Kijijini umeanza kuangalia movie ukubwani baada ya Kuja mjini
 
Wakuu sekunde hii hii ya leo au miaka hiyo sekunde ilikua inehesabika tofauti??

Ngumi nzito zenye kumsukuka mtu mzima umbali fulani, ndoige 6 kwa sekundee.???

Jamaa alikua jini au binadamu kama sisi? Kuna yeyote aliewahi walau kuikaribia hiyo rekodi??
Hakuna
 
Katika Hili inategemea na umri wako na mazingira ulipo kulia

Vijana wa miaka ya 80 hawatakuelewa kabisa maana movie za Bruce Lee enzi zake zilikuwa hazina mpinzani

Na kama ulikuwa kijana wa miaka hiyo 80 basi itakuwa umekulia Kijijini umeanza kuangalia movie ukubwani baada ya Kuja mjini
Kwahiyo usipozipenda muvi za Bruce Lee umekulia kijijini? Hahahahahaha, Da! kuishi kwa kukariri huku raha sana
 
Huwezi zielewa in normal thinking brain. Jamaa mpaka mafundisho yake yanatumika in normal life. Chukua hii " I fear a man who practiced one kicks 10000 times but I don't fear a man who practiced 10000 kicks once.
Nyingine Tena sema iyo inatosha
Hahahahaha! Aiseeee!
 
Back
Top Bottom