WeeeNimenyooka kabisa[emoji28]
Nipe habari za mdudu..mpendwaWeee
🤣🤣🤣🤣🤣[emoji16][emoji16][emoji16]mjomba hicho unachotumia kiache kwa muda kwanza
Sio kuzuri kwa wageniKwanini mnaiogopa sana Chuga?
Aaah wapi mnatuchafulia bure mkuuSio kuzuri kwa wageni
Mdudu nyoko kama kawa anatafunika dailyNipe habari za mdudu..mpendwa
Katika Hili inategemea na umri wako na mazingira ulipo kuliaSijawahi kuzipenda wala kuzielewa muvi za huyu jamaa
Wivu tu...jamaa alikuwa anajua sana
Hatari sana aisee, mwanamke bora uondoke zako tu kuliko hiyo shidaMishipa yoote ya liboroo inahamia kwenye k
Wiii phambaf wewe[emoji23][emoji23][emoji23]Mishipa yoote ya liboroo inahamia kwenye k
HakunaWakuu sekunde hii hii ya leo au miaka hiyo sekunde ilikua inehesabika tofauti??
Ngumi nzito zenye kumsukuka mtu mzima umbali fulani, ndoige 6 kwa sekundee.???
Jamaa alikua jini au binadamu kama sisi? Kuna yeyote aliewahi walau kuikaribia hiyo rekodi??
Hata hyo ya kupiga teke kiroba cha mchanga chenye kg 100+ kikaenda juu futi 5,hii nayo hapana😃😃Hii hapana mkuu
Yeah ni cousin wakeHuyu Bruce Lee ana undugu na Suma Lee?
Nauliza tu.
😎
Nimeona mkuu.. alikuwa anajiamini sanaMbona sjasema hajui,jamaa anajua sana tu ila aliluwaga na dharau ww angalia mahojiano yake utajua nnachokwambia!
Kwahiyo usipozipenda muvi za Bruce Lee umekulia kijijini? Hahahahahaha, Da! kuishi kwa kukariri huku raha sanaKatika Hili inategemea na umri wako na mazingira ulipo kulia
Vijana wa miaka ya 80 hawatakuelewa kabisa maana movie za Bruce Lee enzi zake zilikuwa hazina mpinzani
Na kama ulikuwa kijana wa miaka hiyo 80 basi itakuwa umekulia Kijijini umeanza kuangalia movie ukubwani baada ya Kuja mjini
Ndo Nini?Tazama mama Kimbo.
Hahahahaha! Aiseeee!Huwezi zielewa in normal thinking brain. Jamaa mpaka mafundisho yake yanatumika in normal life. Chukua hii " I fear a man who practiced one kicks 10000 times but I don't fear a man who practiced 10000 kicks once.
Nyingine Tena sema iyo inatosha
Kwahiyo usipopenda muvi za Bruce Lee ni mshamba sana? Dah! Nilikuwa sijijui aisee, hahahahahaUtakuwa ni mshamba sana daaah[emoji848][emoji848]