Huyu ndiyo Mtangazaji Maulid Kitenge wa Wasafi FM mwenye Chuki, Unafiki na Uzandiki dhidi ya Klabu ya Simba na Mafanikio yake

Maulid ni "Host", siyo mchambuzi.
Yeye (akisaidiwa na Ahmed, Mwanaidi na Paul Mkai) ni hosts ambao kazi yao ni kuuliza maswali, kuchokoza explanation...
Kitenge ananogesha kipindi ndo maana hata kwenye magazeti asipokuwepo Kuna kitu unaona kimekosekana

Na kwenye maisha usipende kusikia vitu unavyovipenda tu na watu hawawez fanana hata siku moja
 
Alipoachana na Wake zake Wawili Mmoja wa Bungeni na Yule mwingine wa UN ( kutokana na tabia zake za Kifirauni akiwa anaenda huko Marekani na Dubai ) ndiyo kaamua sasa Kukuoa Wewe?
Lakin Yale si maisha yake binafsi mbona tunapenda kuchunguzana, hata Kama hayo yote anafanya wewe inakuongezea nin
hizo ni tabia za wale wcheza vigoma wa uswahilini
 
Mbona manara nae anaitangaza Sunderland au kina nugaz wakitangaza ni kosa!
Sunderland ni mdau na ni mwanachama wa simba hakuna mechi anakosekana jukwaa la VIP. Nakumbuka hata suti za simba yeye ndie aliepewa tenda..
Tatizo ni nini mzee, hiyo inasababisha double standard (kuwa mdau wa sandarland) inatosha kusababisha hilo. Kwani wewe haupendi bosi wako afanikiwe? Kwa nini asingelaumu simba kuwatosa puma ambayo ndio inaonyesha inauzoefu zaidi,
 
Maulid ni "Host", siyo mchambuzi.
Yeye (akisaidiwa na Ahmed, Mwanaidi na Paul Mkai) ni hosts ambao kazi yao ni kuuliza maswali, kuchokoza explanation...
Mzee baba umemaliza kila kitu mtoa mada ana unazi usio na faida mbona me ni Simba fan lakini Sina upuuzi kama wa huyu mtoa mada
 
Sasa mnashangaa nini? Mtu mwenyewe anaitwa kitenge! Kitenge ,kinawahusu wanawake! Kwa hiyo si ajabu kitenge akawa na tabia ya kike ya umbea umbea na maneno maneno!
 
Ndiyo wale wale tu! Utopolo hata siku moja! Wivu unawaumbua fasta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…