Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Kitenge ananogesha kipindi ndo maana hata kwenye magazeti asipokuwepo Kuna kitu unaona kimekosekanaMaulid ni "Host", siyo mchambuzi.
Yeye (akisaidiwa na Ahmed, Mwanaidi na Paul Mkai) ni hosts ambao kazi yao ni kuuliza maswali, kuchokoza explanation...
Lakin Yale si maisha yake binafsi mbona tunapenda kuchunguzana, hata Kama hayo yote anafanya wewe inakuongezea ninAlipoachana na Wake zake Wawili Mmoja wa Bungeni na Yule mwingine wa UN ( kutokana na tabia zake za Kifirauni akiwa anaenda huko Marekani na Dubai ) ndiyo kaamua sasa Kukuoa Wewe?
Swine.Kwa hiyo ....
Usiwe na wasiwasi atakuja kukushukuru kumtangazia biashara yakeHaya umesema Wewe ila si Mimi sawa?
Tatizo ni nini mzee, hiyo inasababisha double standard (kuwa mdau wa sandarland) inatosha kusababisha hilo. Kwani wewe haupendi bosi wako afanikiwe? Kwa nini asingelaumu simba kuwatosa puma ambayo ndio inaonyesha inauzoefu zaidi,Mbona manara nae anaitangaza Sunderland au kina nugaz wakitangaza ni kosa!
Sunderland ni mdau na ni mwanachama wa simba hakuna mechi anakosekana jukwaa la VIP. Nakumbuka hata suti za simba yeye ndie aliepewa tenda..
Mzee baba umemaliza kila kitu mtoa mada ana unazi usio na faida mbona me ni Simba fan lakini Sina upuuzi kama wa huyu mtoa madaMaulid ni "Host", siyo mchambuzi.
Yeye (akisaidiwa na Ahmed, Mwanaidi na Paul Mkai) ni hosts ambao kazi yao ni kuuliza maswali, kuchokoza explanation...
Sasa mnashangaa nini? Mtu mwenyewe anaitwa kitenge! Kitenge ,kinawahusu wanawake! Kwa hiyo si ajabu kitenge akawa na tabia ya kike ya umbea umbea na maneno maneno!Wakati Watangazaji wenzake Wanaojitambua, wenye Elimu Kubwa kwa Fani aliyopo na waliomzidi Akili wakipongeza 'Merchandise and Events Deal' ya Kampuni ya VUNJA BEI na Simba SC Mtangazaji wa Wasafi FM Maulid Kitenge (Mwana Yanga SC lia lia) kaja na 'Majungu' yake yale yale.
"Kwanini Simba SC imeachana ghafla na Kampuni ya Sunderland Only One iliyokuwa inaelekea Kushinda Tenda hiyo na kuikubalia Vunja Bei? "
"Sunderland Only One walikuwa tayari kutoa Cash ya Tsh Bilioni 1 kwa Simba SC tunataka na hawa Vunja Bei nao watoe hiyo hela ".
Ndipo baadae Mchambuzi Mwendamizi hapo hapo Wasafi FM Msomi wa IFM na Wakala wa Wachezaji George Job (ambaye pia ni mwana Yanga SC Mwenzake) alipojitokeza na Kumfafanulia vizuri na kumfanya Maulid Kitenge aonekane kweli ni 'empty set' kabisa
"Si kweli Maulid Kitenge Sunderland Only One hawajafanyiwa mtimanyongo wa Kushinda hiyo Tenda na Simba SC mpaka Vunja Bei akashinda "
"Ukweli ni kwamba Vunja Bei alifanya Presentation nzuri sana ambayo haikuishia tu kusema Simba SC itapata Faida kama walivyofanya Sunderland Only One bali wao Vunja Bei walienda mbali zaidi kwa kuahidi Kuipanua zaidi Simba SC Kimataifa hasa katika Matukio ya Kimkakati kitu ambacho hata Mimi George Job nakipongeza na nawapongeza sana hawa Vunja Bei "
Simba SC endeleeni tu Kumlea huyu Mtangazaji Maulid Kitenge na hizi 'choko choko' zake za kila mara kwa Simba SC ila kuna Siku Mashabiki uvumilivu utawashinda na wataamua Kumfanyia kile ambacho 'Mwarabu' wa iliyokuwa TIOT enzi hizo alikuwa akimfanyia na Yeye Kukifurahia pia.
Inakera na tumeshamchoka hivi sasa.
Ndiyo wale wale tu! Utopolo hata siku moja! Wivu unawaumbua fasta.Swali limejibiwa vizuri sana.
Kitenge ameshaiongelea yanga mara nyingi. Ashazimiwa simu mara nyingi na Bumbuli. Ashamualika Jerry Muro si mara moja kutema cheche. Bakari Jembeulaya, Ali Mayai , Mzee Sunday Manara etc.. wameshatema cheche sana Wasafi FM wakiitwa na kitenge kuhusu Yanga na uozo wao. ndiyo maana nikakuuliza wewe ni msikilizaji?
Siku ya wananchi yeye kumsoma Morrisson ndiyo inasaidia nini?? Imesaidiaje yanga au imeiumizaje Simba??
Kitenge ni yanga na baba yake marehemu anajulikana ni yanga kwani kuna taizo? Hayo ni mambo ya kawaida sema Simba nyie washabiki wengi ni mapolisi mmeanzia ushabiki Depo basi mkija mjini mnaanza ooh, Yanga wajificni hata!
Swine!!!!!