Huyu ndiyo muwakilishi Kutoka Tanzania atakayeshiriki Miss World 2017.

Hivi hayo mashindano bado yapogo?
Hiyo kitu ni Zilipendwa.
Watu hawana tena muda wa kuyafuatilia, ni kupoteza muda tu.

Kila mtu anapambana na hali yake.
 
Kama hongo ni papuchi lundenga atakua ameshazijua za kila rangi na size ya kila aina
 
Bt duh,hiyo miss inaurefu sawa na LUNDENGA?? mmh ngumu kuingia..labda nipake mate
 
Huyu dada alishiriki miss tz mwaka jana ila aliugua before finali then millen magese akampeleka kwenye mashindano nigeria ya mamiss sjui mambo ya mazingira akawa top 5

Sasa hivi ndo ameteuliwa
 
Mwakilishi wa Tanzania Mashindano ya Miss World 2017 | Mwakilishi Wa Tanzania
 
Kuna watu mnamsema sasa hivi lakini akifanya vizuri mtaanza shobo na kujivunia ushindi wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…