Ndio hivyo mzeya tutafanyaje stare zengine hatuwezi zimudu.Na mnavyojuaga lawama. Mnazaa kama kuku ila kulea kwa kaka zenu
Kuna Mwalimu wa Shule ya Msingi huko Morogoro ameuwawa na kuacha mke na watoto watatu.
Mamia ya wananchi wameshiriki maziko ya aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya mji wa Geita, Peter Kulwa (67) aliyefariki dunia Juni 13, 2024 na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10.
Kwa mujibu wa risala iliyosomwa na mjukuu wake, Makutano Sadick, diwani huyo alianza kuugua kisukari Mei 2002 na kupatiwa matibabu katika hospitali mbalimbali nchini na Juni, 2024 akiwa anaendelea na matibabu Hospitali ya Kamanga iliyopo Jijini Mwanza, mauti yalimfika.
Alisema babu yake ameacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10.
Ngoja nami pia sasa nishindane nae kwani mpaka sasa nikiwahesabu Tanzania na Nje wanafikia kama 13 au 15 fulani.
Kwa mke mmoja hao watoto 34 uandishi kama huu usiojitosheleza kuna jamaa kawasema sana wanafunzi wa SAUT
Mamia ya wananchi wameshiriki maziko ya aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya mji wa Geita, Peter Kulwa (67) aliyefariki dunia Juni 13, 2024 na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10.
Kwa mujibu wa risala iliyosomwa na mjukuu wake, Makutano Sadick, diwani huyo alianza kuugua kisukari Mei 2002 na kupatiwa matibabu katika hospitali mbalimbali nchini na Juni, 2024 akiwa anaendelea na matibabu Hospitali ya Kamanga iliyopo Jijini Mwanza, mauti yalimfika.
Alisema babu yake ameacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10.
Ngoja nami pia sasa nishindane nae kwani mpaka sasa nikiwahesabu Tanzania na Nje wanafikia kama 13 au 15 fulani.
DahKuna watu wanambato wewe!
AhsanteMimi si muumini wa watoto wengi, mmoja anatosha au wawili. Ila watu wanazaa sana dah! Na vijana wengi wanaishia kuwa na maisha magumu sana, kwenye hizi nchi za dunia ya tatu.
Naona unatamani sana kupata Bwana kutoka SAUT Mwanza.K
Kwa mke mmoja hao watoto 34 uandishi kama huu usiojitosheleza kuna jamaa kawasema sana wanafunzi wa SAUT
Hahaha umenikumbusha the so called chanel oNaona unatamani sana kupata Bwana kutoka SAUT Mwanza.