Huyu ndiyo Mwanaume wa Shoka: Aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya Geita afariki na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10

Huyu ndiyo Mwanaume wa Shoka: Aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya Geita afariki na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10


Mamia ya wananchi wameshiriki maziko ya aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya mji wa Geita, Peter Kulwa (67) aliyefariki dunia Juni 13, 2024 na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10.

Kwa mujibu wa risala iliyosomwa na mjukuu wake, Makutano Sadick, diwani huyo alianza kuugua kisukari Mei 2002 na kupatiwa matibabu katika hospitali mbalimbali nchini na Juni, 2024 akiwa anaendelea na matibabu Hospitali ya Kamanga iliyopo Jijini Mwanza, mauti yalimfika.

Alisema babu yake ameacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10.

Ngoja nami pia sasa nishindane nae kwani mpaka sasa nikiwahesabu Tanzania na Nje wanafikia kama 13 au 15 fulani.
Kuna Mwalimu wa Shule ya Msingi huko Morogoro ameuwawa na kuacha mke na watoto watatu.
Kati ya watoto hao wawili ni wa kwake na mmoja ni mtito wa dereva wa bodaboda na ilibaki kidogo iwe yeye wawili na bodaboda wawili
 
K

Mamia ya wananchi wameshiriki maziko ya aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya mji wa Geita, Peter Kulwa (67) aliyefariki dunia Juni 13, 2024 na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10.

Kwa mujibu wa risala iliyosomwa na mjukuu wake, Makutano Sadick, diwani huyo alianza kuugua kisukari Mei 2002 na kupatiwa matibabu katika hospitali mbalimbali nchini na Juni, 2024 akiwa anaendelea na matibabu Hospitali ya Kamanga iliyopo Jijini Mwanza, mauti yalimfika.

Alisema babu yake ameacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10.

Ngoja nami pia sasa nishindane nae kwani mpaka sasa nikiwahesabu Tanzania na Nje wanafikia kama 13 au 15 fulani.
Kwa mke mmoja hao watoto 34 uandishi kama huu usiojitosheleza kuna jamaa kawasema sana wanafunzi wa SAUT
 
Mimi si muumini wa watoto wengi, mmoja anatosha au wawili. Ila watu wanazaa sana dah! Na vijana wengi wanaishia kuwa na maisha magumu sana, kwenye hizi nchi za dunia ya tatu.
Ahsante

Ntakupa hao hao😂😂
 
Mimi wazee wangu wananisisitiza nifyatue tu eti ukoo wetu mdogo,lakini nimeshindwa kwa kweli.Huyu mmoja tu ananitoa mvi na makunyanzi.Kudos baba diwani.
 
Back
Top Bottom