Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Kwa nini magaidi duniani kote wanashika kuran mkono mmoja ili kuhalalisha mauaji na hawashiki bible? Kwa nini wanamtumia allah lkn hawawezi kumtumia Yehova?
Just curious!
 
Walio soma vizuri woote wamo 'Mkombozi Bank' wanatakatisha pesa haram !

Ndugu yangu tuongelee swala la Ugaidi.Kuhusu swala la kutakatisha fedha lazima uwe na elimu ya kutosha. Washauri hawa ndugu zetu katika imani waachane na haya mambo ya Ugaidi maana Tanzania sio sehemu salama kwao.
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 gaidi kavaa yeboyebo hawa ni bora wangeenda uza maji au karanga kariakoo maana kifo chao kwa risasi za JWTZ kimewadia
Jamaani wale vijana wenzangu ambao mpo madrasat na wengine ambao hamna kazi
Tafadhali tisidanganyike na watu wachache "eti tupigane kwa ajili ya jambo fulani utapata thawabu" ACHA huo muda nenda katafute kibaraza uanze kushona ndala utajipatia riziki

Au wakajiunge Mkombozi Bank kwa kazi ya kutakatisha pesa !
 
Ndugu yangu tuongelee swala la Ugaidi.Kuhusu swala la kutakatisha fedha lazima uwe na elimu ya kutosha. Washauri hawa ndugu zetu katika imani waachane na haya mambo ya Ugaidi maana Tanzania sio sehemu salama kwao.

hiyo ni kazi ya wasomi magaidi ya kikiristu!
 
Kwa nini magaidi duniani kote wanashika kuran mkono mmoja ili kuhalalisha mauaji na hawashiki bible? Kwa nini wanamtumia allah lkn hawawezi kumtumia Yehova?
Just curious!

Yehova ndiye Yesu !? ....just curious !
 
Ehneeeee haya sasa

Kama wameamua kuwatafuta polisi hapo sasa lazima siasa inahusikA
 






HATIMAYE kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti hili kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita Kaisi Bin Abdullah akijitapa kufanya hivyo kwa lengo la kukusanya silaha ili kulipa kisasi siku si nyingi!


Ijumaa liliunasa mkanda huo kutoka kwa mtu mmoja aliyekataa kujitambulisha kwa jina wala kusema anakotokea hapa nchini huku akisema: “Una maneno ya hatari sana, naogopa kujianika, nitauawa.”

Hatimaye kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti la Ijumaa kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita Kaisi Bin Abdullah akijitapa kufanya hivyo kwa lengo la kukusanya silaha ili kulipa kisasi siku si nyingi!

Gazeti hilo linadai kuunasa mkanda huo kutoka kwa mtu mmoja aliyekataa kujitambulisha kwa jina wala kusema anakotokea hapa nchini.

Bin Abdullah ametumia dakika 11: 03 kuzungumzia mambo mbalimbali lakini kubwa kuliko yote ni kuliponda Jeshi la Polisi Tanzania kwa kuwakamata wenzao katika imani na harakati (zinazohifadhiwa kwa sasa) na kuwashikilia kwenye mahabusu mbalimbali nchini.

Alianza kwa Kusema:
Bin Abullah ambaye kwenye mkanda huo amevaa nguo nyeusi kama ninja na miwani ya giza, alizungumza kwa kirefu, akitoa wito lakini mbele akasema:

“Tumeshaungana ili kupambana. Mkoa wa Mtwara zaidi ya wenzetu kumi na saba walikamatwa kwa makosa ya dhuluma, makosa ya kupanga, makosa ya ugaidi.

Ishirini na moja wamekamatwa Zanzibar wako katika Gereza la Segerea (Dar). Wenzetu wengine kumi na nane wamekamatwa Mwanza wako katika Gereza la Kisongo, Arusha. Ndugu zangu, wenzetu wengine kumi na saba wameuawa Mtwara kwa amri ya ...(anamtaja waziri).” “Subira yetu imefika mwisho na tulichokuwa tunasubiri Mungu ameshatupa. Tunatoa ahadi kilichopo hivi sasa tunatoboa jahazi wote tuzame.

“Tunatoa rai, wenzetu waliopo Gereza la Kisongo waachiwe huru. Hapa hatumtishi mtu yeyote yule.”“Pili, agizo la Ernest Mangu IGP, umetangaza uliwenguni kwamba umewakamata wote waliovamia vituo vya polisi na umezikamata silaha zote. Ukweli ni kwamba unatetea tumbo lako. Hakuna mtu hata mmoja aliyekamatwa na wala silaha hazijakamatwa.

“Mungu ametukubali. Katika Kituo cha Polisi Ushirombo (Kilimanjaro) tumeweza kuvamia kituo, tukaweza kutoa roho za polisi na tukaweza kuchukua silaha, tunazo.

“Tumevamia Kituo cha Polisi Ikwiriri (Pwani), tumeweza kuchukua silaha za kutosha, tumeweza kuchukua mabomu ya kutosha. Tunazo silaha tunasubiri muda zianze kufanya kazi.“Ernest Mangu nakupa changamogto, hivi sasa tuna uwezo...(maneno yanahifadhiwa kwa usalama) wakati wowote ambao tunataka.

“Tumeweza kuchukua silaha bila kuwa na silaha yoyote. Ndugu zetu wa Tanga wameweza kuchukua silaha wakiwa hawana silaha yoyote. Ikwiriri tumechukua silaha tukiwa hatuna silaha yoyote, mpaka sasa tumeshachukua roho tano za polisi.“Ndugu zangu, ...mlikuwa mkinisubiri nitoe tamko, natoa kauli rasmi...” alihitimisha Abdullah, huku vitisho vya jumla kwenye tamko lake vikiwahusu polisi, viongozi wa ngazi za juu serikalini pamoja na mikusanyiko ya ibada.

Tamko la IGP

Baada ya video hiyo,Gazeti la Ijumaa lilimtafuta Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu na kuzungumza naye kuhusu mtu huyo na kumkabidhi video ambapo alisema: “Nawashukuru sana kwa kuleta video hii, huu ndiyo ushirikiano unaotakiwa, nawaomba wananchi video za aina hii wazikatae kwa sababu ni kosa kuwa nazo na watu kadhaa wameshakamatwa kwa kuwa nazo.

“Sisi kama jeshi la polisi tunajua kuwa kuna watu wanadhani kufanya uhalifu kama huo kutawasaidia kutimiza matakwa yao, lakini ukweli ni kwamba polisi wapo imara na nina uhakika watuhumiwa watakamatwa kwa kushirikiana na raia wema.”

Shehe Mkuu Amkana

Baada ya kuzungumza na IGP, Gazeti lilimtafuta Shehe Mkuu Tanzania, Mufti Shaban Simba na kumsimulia kuhusu kuibuka kwa Bin Abullah na kutaka kujua pengine anamfahamu. “Kwanza hizo taarifa hizo ndiyo nazisikia kutoka kwako. Hilo jina ulilonitajia (Bin Abdullah) sijawahi kulisikia labda muangalie kwa wenzetu upande wa pili.”


Chanzo:
GPL


Mbona shape kama nape
 
Last edited by a moderator:
Nyie mmelogwa na udini.

sisi wapagani tunawaangalia tu. na Tanzania yetu itakua salama na Amani itakua pale pale.

nyie mlioadhiriwa na udini mrudi kwenu Stupid!

fuatilia historia ya Tz vema. hatuwahitaji ninyi wadinidini. Tz ni ya watu wa amani wasiofungamana na dini yoyote wala kabila.

Hao magaidi watadondoshwa wote. hamna kitu hapo ww
 
kule wanakofundisha mungu kawa adopted na fundi seremala anaitwa Yusuf !

Walio soma vizuri woote wamo 'Mkombozi Bank' wanatakatisha pesa haram !

Kama Kilaini na Tibaijuka !

Au wakajiunge Mkombozi Bank kwa kazi ya kutakatisha pesa !

hiyo ni kazi ya wasomi magaidi ya kikiristu!

Yehova ndiye Yesu !? ....just curious !

Nakusoma tartiiiiiiiiiiiiiiib huku napata GAHAWAA na kashata
 
Sasa nyinyi wenye shule kumi bora mnazalisha wasomi gani zaid zaid ya wezi kama kina askofu kilaini na rugemalila??


Mbuzi katoliki akili fyatu sana aisee.


Kama alivyo mla rushwa Kilaini !

Atleast wanawaibia kisomi na wao pamoja na familia zao wanaishi vizuri. Sasa hawa wavuta bangi form4 tu wamefeli maisha yanawapiga wanaishia kujidai wafia dini. Nendeni shule mkasome kwa bidii otherwise tutawaendesha hadi mtembelee vichwa
 
Khaa!! Wazungu na waarabu wakisoma haya roho zao zinakuwa kwatu
 
Maandiko ya dini zote yameonya wazi.....mapigano kati ya dini tofauti ndio utakua mwanzo wa kuiangamiza dunia, binafsi nina amini baadhi ya watu wanaona FURSA katika kila jambo na hata katika prophecy hii watu wamethink out the box literally tena sio leo, jana wala juzi, hii ni tangu zamani, mwenye akili na atambue.

"There is only one truth, only men describe it in different ways. The only difference between a religion and a superstition is the degree of social acceptance it enjoys. "
 
Kama alivyo mla rushwa Kilaini !

Bakia kwenye mada wewe.

Hivi hizi chuki zenu za kuua watu mnategemea kuwapeleka akhera na kupewa machangu 72, unless huyo mungu wenu ni mjomba wenu. Pathetic muzzrats.
 
Maandiko ya dini zote yameonya wazi.....mapigano kati ya dini tofauti ndio utakua mwanzo wa kuiangamiza dunia.....binafsi nina amini baadhi ya watu wanaona FURSA katika kila jambo na hata katika prophecy hii watu wamethink out the box literally...tena sio leo, jana wala juzi...hii ni tangu zamani....mwenye akili na atambue....."There is only one truth, only men describe it in different ways."......."The only difference between a religion and a superstition is the degree of social acceptance it enjoys. "

Nope. Islam supports jihad and killing of Christians and JEWS.

Quran (2:191-193) - "And kill them wherever you find them, and turn them out from where they have turned you out. And Al-Fitnah [disbelief or unrest] is worse than killing...

but if they desist, then lo! Allah is forgiving and merciful. And fight them until there is no more Fitnah [disbelief and worshipping of others along with Allah] and worship is for Allah alone. But if they cease, let there be no transgression except against Az-Zalimun (the polytheists, and wrong-doers, etc.)"

Quran (8:12) - "I will cast terror into the hearts of those who disbelieve. Therefore strike off their heads and strike off every fingertip of them" No reasonable person would interpret this to mean a spiritual struggle.


Quran (9:30) - "And the Jews say: Ezra is the son of Allah; and the Christians say: The Messiah is the son of Allah; these are the words of their mouths; they imitate the saying of those who disbelieved before; may Allah destroy them; how they are turned away!"
 
Yehova ndiye Yesu !? ....just curious !

MUHAMMAD AKIRI KUCHEZEWA NA SHETANI
1. Mtume Muhammad asema, Yesu hakuwai chezewa na Shetani.
2. Muhammad akiri kuwa, Waislam wote wanachezewa na kupulizwa matakoni na Shetani.
3. Muhamamd akiri kuwa Uislam ni Bandia.


Hebu tuanze kwa ushahidi kuhusu Yesu ambaye hakuchezewa na Shetani.


Hadith ya Bhukari Mwaminifu 4:506 kama ilivyo letwa kwenu na Abu Huraira:
Mtume Muhammad alisema, Binadamu yeyote yule anapo zaliwa, Shetani humgusa sehemu zote mbili za mwili wake kwa vidole viwili, ISIPO KUWA Yesu Mwana wa Mariamu ambaye Shetani alishindwa kumgusa na wala kumsogolea.


HADITHI nyinge ya Mkweli Mwaminifu Bhukar 4: 642, kama ilivyo letwa kwenu na Said bin Al-Musaiyab:

Abu Huraira alisema, "nilimsikia Nabii wa Allah akisema, Hakuna kiumbe ambaye hakuguswa na Shetani, ndio maana mtoto hulia kwa sauti kubwa wakati wa kuzaliwa kwasababu Shetani anakuwa amemgusa, ISIPOKUWA Mariyam na Mwanae Yesu, wao hawakuguswa na Shetani. Kisha Abu Huraira akasema : " Na najikinga na Wewe kwa ajili yake na kwa ajili ya watoto wake kutoka kiwa Shetani" ( 3.36 )


Ndugu zanguni, Muhammad leo amekiri kuwa, YESU hakuwai kuguswa na Shetani lakini yeye na Waislam wote wameguswa na kuchezewa na Shetani.


Kasema Mtume (s.a.w) "Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake". (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)


Muhammad anasema: Shetani anaingia msikitni na kuwachezea Waislam kama ushahidi unavyo sema hapo juu.
Kwanini mfuate dini ambayo inaongozwa na MASHETANI Msikitini?


Kwanini Shetani ana mamlaka ya kuwapuliza Waislam matako yao?
Hakika Uislam ni dini bandia.
 
Back
Top Bottom