brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Tukiangalia mwaka 2016 katika wasanii wa bongo fleva nani aliefanikiwa katika muziki wake na kuingiza pato kubwa mwaka 2016
Diamond platnumz huyu ndo msanii aliepata mafanikio zaidi Tanzania
Hizi ndio facts
- Mwezi wa kwanza Diamond alishinda tuzo kubwa nchini Nigeria za the Headies kama msanii bora wa mwaka non Nigerian
- Mwezi wa 2 diamond alishinda tuzo 2 za Hipipo nchini Uganda kama msanii bora wa Africa mashariki na wimbo bora wa africa mashariki kupitia wimbo wa Nana
- Kuanzia mwezi wa 3 hadi wa 5 diamond alifanya tour ya music wake US na Uerope akafanya shows zaidi ya 37 na kuingiza zaidi ya milioni 600
- Mwezi wa 5 diamond alichaguliwa kuingia kwenye tuzo za BET
- Mwezi wa 6 diamond aliingia mkataba na Vodacom wa kuwa balazo wao na kutengenenea matangazo yao. Diamond alilipwa zaidi ya milioni 600 na vodacom
- Mwezi wa 7 Diamond aliingia mkataba na Tomato Gold source na kulipwa zaidi ya milioni 160 na kutengeneza tangazo pia
-Mwezi wa 8 diamond aliingia mkataba na cocacola kutengeneza tangazo la Onja msisimko na kulipwa zaidi ya milioni 70
- Mwezi wa 9 diamond alifanya show nchini kenya kwa mwaliko wa chama cha ODM na kulipwa zaidi ya milioni 87
- Mwezi wa 10 diamond alishinda tuzo zaidi 7 kuanzia afrimma na eau usa
- Mwezi wa 11 diamond alianza kufanya ziara yake Africa kuanza nigria, malawi , mayotte pia alishinda tuzo 3 za afrima
- Mwezi 12 diamond alitangaza kulipwa zaidi ya bilioni 2 na lebal ya Universal music group na kuingia nao partnership ya kusambaza music wa WCB duniani
Diamond platnumz huyu ndo msanii aliepata mafanikio zaidi Tanzania
Hizi ndio facts
- Mwezi wa kwanza Diamond alishinda tuzo kubwa nchini Nigeria za the Headies kama msanii bora wa mwaka non Nigerian
- Mwezi wa 2 diamond alishinda tuzo 2 za Hipipo nchini Uganda kama msanii bora wa Africa mashariki na wimbo bora wa africa mashariki kupitia wimbo wa Nana
- Kuanzia mwezi wa 3 hadi wa 5 diamond alifanya tour ya music wake US na Uerope akafanya shows zaidi ya 37 na kuingiza zaidi ya milioni 600
- Mwezi wa 5 diamond alichaguliwa kuingia kwenye tuzo za BET
- Mwezi wa 6 diamond aliingia mkataba na Vodacom wa kuwa balazo wao na kutengenenea matangazo yao. Diamond alilipwa zaidi ya milioni 600 na vodacom
- Mwezi wa 7 Diamond aliingia mkataba na Tomato Gold source na kulipwa zaidi ya milioni 160 na kutengeneza tangazo pia
-Mwezi wa 8 diamond aliingia mkataba na cocacola kutengeneza tangazo la Onja msisimko na kulipwa zaidi ya milioni 70
- Mwezi wa 9 diamond alifanya show nchini kenya kwa mwaliko wa chama cha ODM na kulipwa zaidi ya milioni 87
- Mwezi wa 10 diamond alishinda tuzo zaidi 7 kuanzia afrimma na eau usa
- Mwezi wa 11 diamond alianza kufanya ziara yake Africa kuanza nigria, malawi , mayotte pia alishinda tuzo 3 za afrima
- Mwezi 12 diamond alitangaza kulipwa zaidi ya bilioni 2 na lebal ya Universal music group na kuingia nao partnership ya kusambaza music wa WCB duniani