Huyu ndo mwanamke romantic, tofauti na hapo dada unajidanganya

Ushauri mzuri kama nini best ila shida ya hao hawana shukurani wewe fanya hivi kwenye hiyo pochi beba condom za kutosha kanga na kijitaulo cha kishkaji au kanga mbili moja yakujifuta na moja ya kuivaa .
Mengine mpaka ndoa.
Dah utajituma kwa wangapi maisha nikujituma pale umeolewa.
Huu ushauro wako ni wawatu waliokwenye ndoa tena wanaojaliwa na mabwana zao.
Kuna usemi unaosema ukitoa tarajiwa kupewa.
 
😀😀😀😀😀😀
 
we


we haya yote wayafanya ? mengi sana mkuu
 
Hahahaaaa!!! But whaaaat!!
Kwani wapi sijawa serious!!

Alafu hebu subiri, kwahiyo siku zingine huwa hunipendi eeeeh!!! Kumbeeee!

M not goin to answer that
 
Nilikuwa hivi zamani lkn sikuhizi siwezi tena kuwa Romantic, nimeshaumizwa sana kiasi kwamba hata kumwambia I lov u najihic km nadanganya nafsi yangu.. I can't col him baby, sweethrt or wherever sababu nilichowahi kukijua hakijawahi kuniisha kichwani na ubaya hajawahi kuomba msamaha kwa lilowahi kutokea.. Muda mwingine too much pain inaondoa uromantic kwa m'mke. Hivyo m'ume akitaka m'mke wa hivyo basi anaweza kumtengeneza kwa kumjengea trust ya kutosha na daima ailinde..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…