Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
ππππππUnaonana mara mbili kwa mwaka na mjomba wako aliye kijijini sio mpenz wako...Hayo mahusiano gani ss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππUnaonana mara mbili kwa mwaka na mjomba wako aliye kijijini sio mpenz wako...Hayo mahusiano gani ss
Hivi haya ni kweli?Oooh kumbe!! Basi ngoja nikimpata mwingine nitajitahidi angalau mara 4 kwa mwaka.
You'll end up very dissapointed. Kama hakuyafanya hayo mwanzoni hatakaa ayafanye hata siku moja!Kwanzia Leo ntasubiri nifunguliwe mlango wa gari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120]
Asante pia
hahahah kweli mkuuWamekusikia ila ungewashauri pia watafute pesa,maana unakutana na mwanamke anakupa matatizo ya uko mzima, nachukia sana mizinga isiyoeleweka kutoka kwa wadada
Nimesoma nikaona haiishi nikaishia hapo pa kufunguliwa mlango wa gari maana Eli79 wangu hana hata baiskeli
Kiasi chake lakini wanaume watu wa ajabu unaweza kufanya hayo na zaidi ya hayo bado akakuona box halafu umkute yuko na chausiku sasa,
Nb. Mapenzi hayana formula.
Nipo nimejaa tele.Upo, i miss you
Yapi mkwe?Hivi haya ni kweli?
Teh teh teeeeh!Tupo wanaume wastaarabu mbona, sema hujakutana nasi. Wengi mnaowapenda hawajuagi ku appreciate penzi.
Kutoa kipochi mara 4 kwa mwakaYapi mkwe?
Tena nne ni nyingi sana. Mara moja.Kutoa kipochi mara 4 kwa mwaka
Mzee baba msome vzr para za mwisbo .kasema yuko single ....bora ujinywe tu wine ulewe ulaleπππ Kungwi wa kwanza kuwa in successful relationship
πππ Thats anomalous!Mzee baba msome vzr para za mwisbo .kasema yuko single ....bora ujinywe tu wine ulewe ulale
Labda mwengine sio wewe bana.Tena nne ni nyingi sana. Mara moja.
Kwamba?Labda mwengine sio wewe bana.