Huyu ni Ferooz, kumbe kweli uzee upo

Huyu ni Ferooz, kumbe kweli uzee upo

Kinachomfanya aonekane mkubwa zaidi ni hivyo anaendelea kunyoa style za Gen Z na mihereni. Sasa hivi anatakiwa kunyoa kibroo, mkato safi wa kigentleman na hereni aache mbona sio mzee kihivyo?

Ila maisha haya? Ferooz na pua yake kama sketi ya solo alikuwa anagombewa na wadada enzi zake!
hahahhaha imebidi niangalie hio pua kwa mara ya pili, loooh maisha haya jaman
 
Ferooz wa starehe hajazeeka, kuna mara kadhaa nakutana nae jamaa ni kama ana physical frustruation.

Sijui kwa nini kina prof Jay hawakumbeba au ndio hivo tena ubinadamu kazi, pengine watampendaga akisepa.
 
Back
Top Bottom