Huyu ni Ferooz, kumbe kweli uzee upo

hahahhaha imebidi niangalie hio pua kwa mara ya pili, loooh maisha haya jaman
 
Hapo si nko teenager hivi..πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Wakati wewe upo rika hilo, tayari Babu yenu nilikuwa na first born yuko na 21yrs πŸ€—πŸ˜œπŸ™Œ

Nipe shikamoo yangu Mjukuu πŸ€—
 
Wakati wewe upo rika hilo, tayari Babu yenu nilikuwa na first born yuko na 21yrs πŸ€—πŸ˜œπŸ™Œ

Nipe shikamoo yangu Mjukuu πŸ€—
Aaah wapiiiiπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Ferooz wa starehe hajazeeka, kuna mara kadhaa nakutana nae jamaa ni kama ana physical frustruation.

Sijui kwa nini kina prof Jay hawakumbeba au ndio hivo tena ubinadamu kazi, pengine watampendaga akisepa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…