Huyu ni mnyama gani?

Huyu ni mnyama gani?

Buujiiiiiiiiiiiiiii.....!
Sorry my dear, nilikuwa natoka hapo Police Officer's Mess, natembea taratibu, kuelekea pale chini. Nilikuwa naongea na simu hadi nikapoteza umakini, nikasikia fyuuuuuu.... Simu janja imepigwa mbele kidogo ya Golden Tulip.
Nikachanganyikiwa, moja haikai, mbili haikai, akili zikaniruka, kwenye kitochi sina namba ya mgeni, yaani nimekimbilia home kwenye PC, nimtumie ujumbe
 
Sorry my dear, nilikuwa natoka hapo Police Officer's Mess, natembea taratibu, kuelekea pale chini. Nilikuwa naongea na simu hadi nikapoteza umakini, nikasikia fyuuuuuu.... Simu janja imepigwa mbele kidogo ya Golden Tulip.
Nikachanganyikiwa, moja haikai, mbili haikai, akili zikaniruka, kwenye kitochi sina namba ya mgeni, yaani nimekimbilia home kwenye PC, nimtumie ujumbe


Ooh poleee....

Umepitwa na Combo moja Matata 😋😋
 
Back
Top Bottom