Aah nishaacha hiyo tabia kabisa, nilikua najali watu wanayofikiria kuhusu mimi. Ila sasa nishakua gaidi, sijali chochote.Uzuri napokupendea
Baada ya nusu saa utarudi nyuma kufuta ulivyo comment.
๐๐๐๐๐๐Raraa reree
Hujamaliza ku comments ameshalike iwe usiku iwe mchana halafu iko kama hana changamoto za umeme
Dah kmmk, 4% na data onKwakweli hua sipend. I think it's just because I'm sooo succumbed with truth. Mm najua like ni appreciation ya kile nilichopost kwamba mtu kakipenda sasa. Haiwezekani hata nikiweka emoj unipe likes... Pengine mtu anaamua kufatilia mada yako fulani just kwakua ndio tavia yake kutoa like basi anasambaza likes..
Mm hata uniudhi namna gani hua siweki mtu ignore ila swala la like kwakweli sipendi. That's me, and I can't help it.
Wote waliopo ignore list sababu ni hiyo but si kwa ubaya. Kwangu ni usumbufu View attachment 2873408
Usiwe serious sana na maisha mzee. Hii ni social platform tu, watu wana maisha yao huko duniani.Kwakweli hua sipend. I think it's just because I'm sooo succumbed with truth. Mm najua like ni appreciation ya kile nilichopost kwamba mtu kakipenda sasa. Haiwezekani hata nikiweka emoj unipe likes... Pengine mtu anaamua kufatilia mada yako fulani just kwakua ndio tavia yake kutoa like basi anasambaza likes..
Mm hata uniudhi namna gani hua siweki mtu ignore ila swala la like kwakweli sipendi. That's me, and I can't help it.
Wote waliopo ignore list sababu ni hiyo but si kwa ubaya. Kwangu ni usumbufu View attachment 2873408
Aah nishaacha hiyo tabia kabisa, nilikua najali watu wanayofikiria kuhusu mimi. Ila sasa nishakua gaidi, sijali chochote.
Wazungu wanasema.. It's about time๐๐
List haitoshi mkuu๐๐Kwakweli hua sipend. I think it's just because I'm sooo succumbed with truth. Mm najua like ni appreciation ya kile nilichopost kwamba mtu kakipenda sasa. Haiwezekani hata nikiweka emoj unipe likes... Pengine mtu anaamua kufatilia mada yako fulani just kwakua ndio tavia yake kutoa like basi anasambaza likes..
Mm hata uniudhi namna gani hua siweki mtu ignore ila swala la like kwakweli sipendi. That's me, and I can't help it.
Wote waliopo ignore list sababu ni hiyo but si kwa ubaya. Kwangu ni usumbufu View attachment 2873408
Mnabaki kujiongelesha wenyeweNa sisi tuliom quote tunaonekana wehu ๐๐akifuta nam report.
Mambo Sony hayo hapo inaweza kaa saa nzimaDah kmmk, 4% na data on
Facebook like sound ndio iliniharibu, nina uraibu wa kile kimlio cha like kwenye facebook. Nakipenda.
Pamoja tajiri
OkayFacebook like sound ndio iliniharibu, nina uraibu wa kile kimlio cha like kwenye facebook. Nakipenda.
Sema mtandao ndio changamoto nowdays nimepunguza. Hapa nilipo ni dakika ya 5 inapita nacomment inagoma kupublish, zitakuja comment sita sita.
Ngoja nikalike post zako zote za miaka ya nyuma nione kama utani-ignoreWanisamehe. Mtu anayelike kila comment yangu hua namuweka ignorw list. Unaamka asubuhi unakuta notification 70 za mtu analike post zako za 2016 huko
Kuna kadhaa hawajaonekana. Kuna mmoja anajiita mgonga likes kabisa.. Basi hadi ni kero.List haitoshi mkuu๐๐
Kwenye hiyo list kuna mtu kakosekanaKwakweli hua sipend. I think it's just because I'm sooo succumbed with truth. Mm najua like ni appreciation ya kile nilichopost kwamba mtu kakipenda sasa. Haiwezekani hata nikiweka emoj unipe likes... Pengine mtu anaamua kufatilia mada yako fulani just kwakua ndio tavia yake kutoa like basi anasambaza likes..
Mm hata uniudhi namna gani hua siweki mtu ignore ila swala la like kwakweli sipendi. That's me, and I can't help it.
Wote waliopo ignore list sababu ni hiyo but si kwa ubaya. Kwangu ni usumbufu View attachment 2873408
Niku ignore halafu tarumbeta nipige kwa nani?? ๐๐Ngoja nikalike post zako zote za miaka ya nyuma nione kama utani-ignore
BICHWA KOMWE ana baya??raraa reree huna baya tunakupenda wewe na likes zako
Yeaap yeap. Its about timeThatโs better ๐ฅ
Kumbe una ubaguzi eeNiku ignore halafu tarumbeta nipige kwa nani?? ๐๐
Kwa kupenda likes haujaMBOOSasa shida ni nini? Uwe unazihamishia kwangu hizo likes
MuoneWw ni habari ingine