AUNT HAPPY
Member
- Mar 29, 2013
- 10
- 1
Habari zenu ndg wanajf napenda kuwapongeza hii ni mara ya kwanza kuandika huku naomben ushauri.mm n dada wa miaka 31 nimeajiriwa.niliolewa na kupata mtt bahat mbaya mume wangu hakuwa riziki kwan alipoteza uhai kwa ajali ya gari alipokuwa safarini 2009. Baada ya hapo niliamua kutulia mwenyewe.mwaka jana 2011 nilipata mwanaume ambae nae alikuwa ametengana na mkewe kwa muda. Nae alinieleza mambo mengi nami tukakubaliana kuishi pamoja. Sasa tumekaa kwa muda wote huo tukiwa wapenzi lkn kinachonishangaza huyu kaka anaishi na dada yake.na chumba cha huyu kaka huwa hafungi mlango wake wa chumban na dada yake huwa anaingia chumban humo kama kwake na huwa anakifanyia usafi chumba cha kaka yake huyo na wakati mwingine huwa kama kaka yake hayupo huwa analala ktk kitanda hicho.sasa nikimueleza mwanaume huyu yy ananiambia nimueleze na mm namuogopa maana huwa siishi hapo.kingine huwa nasoma evening class sasa mwanaume huyu anataka pale nitokapo class anataka nikishatumia vyombo nijiyahid niwe naviosha.na hapo niamkapo niwe najitahid kufanya usafi ndani ndio niende kazini najikuta nafanya ila wakati mwingine najikuta nachelewa kulala hivyo inabidi nimuombe dada yake anisaidie maana yy yupo nyumban tu.sasa kinachonipa hofu kila nikimuuliza kuuhus mpango wa kwenda kujitambulisha home yy anadai bado muda na sasa tumeshakuwa wapenz kwa muda miez saba lkn yy anadai tusomane kwanza je huyu mwanaume ananifaa