Binafsi huwa naona bora uwe na Kina Erythrocytes, Faiza foxy na kina Lucas Mwashambwa wengi kuliko kuwa na mtu ambae haieleweki anasimamia kipi.
Je, wengine huwa mnamuelewa?
Yule ni mwandishi mwandamizi sio hao unaowataja hata hawajulikani mitaani na majina yao bandia, story huwa zinakuwa balanced ili kutokutoa hukumuBinafsi huwa naona bora uwe na Kina Erythrocytes, Faiza foxy na kina Lucas Mwashambwa wengi kuliko kuwa na mtu ambae haieleweki anasimamia kipi.
Je, wengine huwa mnamuelewa?
Huyo Pascal ni mnafiki hatari, anasumbuliwa n njaaBinafsi huwa naona bora uwe na Kina Erythrocytes, Faiza foxy na kina Lucas Mwashambwa wengi kuliko kuwa na mtu ambae haieleweki anasimamia kipi.
Je, wengine huwa mnamuelewa?
Hilo tumbo na anavyopanda km kinyonga mwenye mimba akiwa juu ya mtiwe umemuelewa huyu maisha ni kupanda ila nashangaa yameshuka
View attachment 3048453
Mayalla=NjaaBinafsi huwa naona bora uwe na Kina Erythrocytes, Faiza foxy na kina Lucas Mwashambwa wengi kuliko kuwa na mtu ambae haieleweki anasimamia kipi.
Je, wengine huwa mnamuelewa?
Muheshimu pascalMayalla=Njaa
Amefanyaje tena Pasco mzee wa kura moja Kawe?Binafsi huwa naona bora uwe na Kina Erythrocytes, Faiza foxy na kina Lucas Mwashambwa wengi kuliko kuwa na mtu ambae haieleweki anasimamia kipi.
Je, wengine huwa mnamuelewa?
Huyu bumunda anapenda sana sifa za kijnga, hana utaalamu wowote wa ufundi sasa hapa alikuwa anapanda kwenye mnara kugagua nini?we umemuelewa huyu maisha ni kupanda ila nashangaa yameshuka
View attachment 3048453
Hawezi kamwe kula teuziAnapalilia uteuzi Baba wala usiulize!
Alishasema kuwa hataki uteuzi wala kutumwa na mtu .Hawezi kamwe kula teuzi
Wewe je hutaki kuteuliwa au umeshajikatia tamaa?Alishasema kuwa hataki uteuzi wala kutumwa na mtu .
Tulia dogo acha PaparaWewe je hutaki kuteuliwa au umeshajikatia tamaa?
Mbona swali jepesi hilo dogo?Tulia dogo acha Papara
Ila ni mnoko sana alimchoma Eric Kabendera.Pascal Mayalla yuko poa sana