GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Inayolipa zaidi Ukiielekezea kwa Wapumbavu wengi.Dini ni biashara
Kabisa naunga mkono hojaInayolipa zaidi Ukiielekezea kwa Wapumbavu wengi.
Nipo Ethiopia naelekea Nigeria........Kwa Nyomi Kubwa alilonalo sasa na Nyota yake inavyoanza Kungaa huku Akipendwa na Kukubalika zaidi kwakuwa huwa Habahatishi kwa Kukutajia Mbaya wako (hata kama ni Mzazi au Nduguyo) huku Akiwaumbua na Kukutajia Wachawi wako na akikuombea na kufanikiwa hawa wa Kawe na Kimara Temboni wasipomkalia Kikao cha Dharura anaenda Kuwapokonya Waumini Wao wote.
Yuko (Anapatikana) Buza kwa Lulenge na siyo kule Buza kwa Mpalange ambako wengi tunakupenda na tunakujua kwakuwa 95% ya Warembo (Mademu) wa huko Wewe Mwanaume usipopita nao na Gari lako Vumbi / Rough Road watakudharau na kukucheka mno huku wakiona ni Mshamba (Mgaigai) mtupu tu.
Haya Kazi Kwenu sasa Kufunguka!
Aisee vipi ulipona mkuu [emoji3]Nishawahi kufika kanisani kwake.
Kwa Nyomi Kubwa alilonalo sasa na Nyota yake inavyoanza Kungaa huku Akipendwa na Kukubalika zaidi kwakuwa huwa Habahatishi kwa Kukutajia Mbaya wako (hata kama ni Mzazi au Nduguyo) huku Akiwaumbua na Kukutajia Wachawi wako na akikuombea na kufanikiwa hawa wa Kawe na Kimara Temboni wasipomkalia Kikao cha Dharura anaenda Kuwapokonya Waumini Wao wote.
Yuko (Anapatikana) Buza kwa Lulenge na siyo kule Buza kwa Mpalange ambako wengi tunakupenda na tunakujua kwakuwa 95% ya Warembo (Mademu) wa huko Wewe Mwanaume usipopita nao na Gari lako Vumbi / Rough Road watakudharau na kukucheka mno huku wakiona ni Mshamba (Mgaigai) mtupu tu.
Haya Kazi Kwenu sasa Kufunguka!
Genta huyu nabii nimekutana na msafara wake siku chache zilizopita wakigawa maji kwa watu njiani. Anatembea na coaster iliyojaa wasaidizi wake (warembo pisi kali) na akiambatana na canter ya wazi iliyosheheni katoni za maji. wanafika sehemu wanasimama dk 5 hivi wanagawa maji kisha wanasepa. Gari ya bombastic sound huwa ni sehemu ya msafaraKwa Nyomi Kubwa alilonalo sasa na Nyota yake inavyoanza Kungaa huku Akipendwa na Kukubalika zaidi kwakuwa huwa Habahatishi kwa Kukutajia Mbaya wako (hata kama ni Mzazi au Nduguyo) huku Akiwaumbua na Kukutajia Wachawi wako na akikuombea na kufanikiwa hawa wa Kawe na Kimara Temboni wasipomkalia Kikao cha Dharura anaenda Kuwapokonya Waumini Wao wote.
Yuko (Anapatikana) Buza kwa Lulenge na siyo kule Buza kwa Mpalange ambako wengi tunakupenda na tunakujua kwakuwa 95% ya Warembo (Mademu) wa huko Wewe Mwanaume usipopita nao na Gari lako Vumbi / Rough Road watakudharau na kukucheka mno huku wakiona ni Mshamba (Mgaigai) mtupu tu.
Haya Kazi Kwenu sasa Kufunguka!