Huyu Salah anastahili Ballon d'or.

😀😀😀😀😀😀 watu wanafunga magoli yalioenda chuo...yeye na mapenati yake alafu end of the day anapewa ballon kama mchezo vile 😀😀😀 raha sana.
😀😀😀😀😀😀 watu wanafunga magoli yalioenda chuo...yeye na mapenati yake alafu end of the day anapewa ballon kama mchezo vile 😀😀😀 raha sana.
Gemu ya juventus nikachoka kabisa kafunga penati kajamaa kakavua hadi shati utadhani kafunga goli ka ustadi sana
 
Avatar yako inaonyesha tayari wewe ni hater wa CR7. Fans wengi wa maradona ni fans wa messi na ni sworn in haters wa CR7.
Kuweka kumbukumbu sawa, ana 4 trophies za champions league, ana 5 medals za ballon D'or, anazo trophies zote ambazo Messi anazo upande wa club na anayo ya european championship (european nations). Amecheza ligi mbili tofauti na zote amechafua inavyotakiwa.
Mimi pia namkubali Messi ila natambua unyama wa CR7, sio kama wewe!
 
Gemu ya juventus nikachoka kabisa kafunga penati kajamaa kakavua hadi shati utadhani kafunga goli ka ustadi sana

Hahaaa ulicheki mkuu 😀😀😀 angelikuwa na bahati ya kuuchezea mpira kama messi au kufunga magoli yenye akili kama messi,, i think angekuwa anavua hadi chupi mamaee.
 

Wewe barafu! Endelea tu kumsifia jamaa yako,,, lakini moyoni unamkubali sana tu Messi 😀😀😀 ndiye mwenye mpira wake bwana
 
Kwani ni mchezaji bora wa mwaka au miaka? Punguzeni mahaba rudini kwenye uhalisia
Ni kwamba Hujanielewa.
Mo salah bado yuko nyuma ya Messi na CR7, in fact hawa sio class yake hata kidogo.
 
Wewe barafu! Endelea tu kumsifia jamaa yako,,, lakini moyoni unamkubali sana tu Messi 😀😀😀 ndiye mwenye mpira wake bwana
Messi namkubali sana, ila natambua hawa wachezaji wana flavor tufauti ya uchezaji na mmoja ana kipaji cha kuzaliwa nacho na mwingine ni hard wark imemfikisha hapo. Wewe sio mtu wa mpira, hauujui mpira bali ni shabiki wa mtu. Mimi sio professional wa soka ila bado nacheza mpira wa ndondo na mpira naujua ndani nje hivyo sishabikii mtu mmoja.
 
mkuu, naona wote mmeisahau record ya goli 91 ambayo itaishi miaka mingi sana....ule msimu Messi alkuwa kwenye ubora wa juu sana..ukiplus na barca bora katika historia...imagine world cup ile spain na style yao ya barca walkuwa wanafunga kagoli kamoja moja. yaan walimkosa Messi pekee wangekua wanashinda ata goli 5 kila gem
 
Sawa-sawa Mr.BlackPanther,

Mimi linapokuja suala la Ronaldo na Mess huwa nakaa pembeni naamini wote wanauwezo na kila moja anaubora katika eneo lake husika.

Kwa mfano katika umaliziaji wa kichwa goli Cr7 yupo vyema sana,kutoa assit mess yupo vyema sana,kupita wachezaji watatu au wawili au wane hii kitu ni rahisi kwa mess pia utumiaji wa miguu yote miwili kwa ustadu mkubwa Cr7 yupo vyema.

Hivyo hawa watu kwangu wote nawaona bora.

Ila wadau tunataka Mo-Sarah anga lote ni Mo-salah.
 
Safi sana,

Mpira wa ndondo huwa unacheza namba ngapi uwanjani..?
 
Safi sana,

Mpira wa Ndondo huwa unacheza namba ngapi/namba gani..?
 

Pamoja kiongozi.
 
Sasa kama alikuwa kwenye ubora wa juu ila hakubeba kombe kivp sahvi watu watoe hoja humu kuwa eti hawawezi toa ballon d'or kwa salah kisa hana kombe ndio nashangaa kwamba kwanni kwa messi hamuangalii makombe ila kwa salah mnataka makombe kwanza??
 
Mo-salah yupo vyema,

Wadau wengine wanadai apewe muda manaake wa angalie next season kama atafanya zaiidi ya haya,vipi wewe unakubaliana na wao..?
Hyo nayo ni hoja lakini sifa anazostahili leo apewe kabisa hlo la baadae anajua Mungu!
 
Hyo nayo ni hoja lakini sifa anazostahili leo apewe kabisa hlo la baadae anajua Mungu!
Ndio kabisa! M'la ni m'la Leo M'la jana kala nini,liwezekanalo Leo lisingoje kesho,Leo ni Leo kesho ni ya manyani.Tunashughulika na wakati uliopo.

Jambo la msingi na jema Liverpool watwae UEFA hapo anga lote toka Jerusalem mpaka Madina itakuwa ni Salah-salah.
 
Umeona mambo hayo!?
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…