Huyu Salah anastahili Ballon d'or.

Huyu Salah anastahili Ballon d'or.

Mbona messi 2010 alitoka kapa bila kombe ila alipewa ballon d'or?? Semeni tu kwamba wanapendelea hao wawili ila makombe haijawahi kuwa kigezo kwa ronaldo au messi kupewa ballon d'or
Kwahiyo unataka kuniambia Bingwa wa Hispania 2009-2010 alikua nani?
 
Duh anamzidi sneijder??
Silver medal worldcup
Silver ball world cup
Champions league
UEFA Super cup
Seria A
Club world cup

Kama vigezo ni mchango kwa timu hapo messi alimkutia wapi Wesley sneijder achia mbali Diego militto???

Ballon d'or iko biased tu hamna utetezi.... Kuna kipindi bayern alikuwa on fire ulaya nzima kuanzia ligi yake mpaka champions league ila hakuna cha ribery neur muller wala robben aliyebeba ballon d'or kama vigezo ni makombe xavi na iniesta walistahili ballon d'or kwa mchango wao kwenye makombe 3 mfululizo ya spain
 
Iniesta alishinda la liga na world cup..kwanini asipewe yeye
Ikisema hivyo sasa utataka ata Pique nae apewe kwakua alishinda La liga na World Cup, Chukua ndoo ata moja kwanza alafu ndio tuangalie ubora wako.....
 
Kwa nini asipewe iniesta aliyeshinda world cup!?
Mkuu acha tu nlishangaa sana mchezaji bora wa champions league hakuwa messi mchezaji bora wa world cup hakuwa messi ila ballon d'or akapewa messi

Ila naamini iko siku tu ufisadi huu utakuja kujulikana hata sepp blatter na platini walificha maovu yao ila walikuja kuumbuka dakika za mwisho
 
Kwahiyo unataka kuniambia Bingwa wa Hispania 2009-2010 alikua nani?
Wwe unasema vikombe ndio kigezo ndio Nmekupa data kwamba sneijder aliyekuwa top scorer world cup.... Aliyekuwa mchezaji wa pili kwa ubora world cup 2010.... Aliyeshinda mataji yote ulaya na serie A ila hakupewa ballon d'or

Wakati huo huo messi aliyeambulia kombe moja msimu mzima tena kwa kuunga unga huku akitunguliwa na inter kwenye mtoano eti ndio anachukua ballon d'or !!

2010 aliyedeserve ni either sneijder,iniesta,milito au forlan.... Huyo forlan alibeba kuanzia kombe la mfalme mpaka europa league na super cup hadi kuibeba timu kufika nusu fainali world cup alafu akawa mchezaji bora wa world cup ila bado messi akatwaa ballon d'or eti kigezo bado ni makombe na mchango kwa timu????

Hahaahahhaha mungu anawaona eti
 
Duh anamzidi sneijder??
Silver medal worldcup
Silver ball world cup
Champions league
UEFA Super cup
Seria A
Club world cup

Kama vigezo ni mchango kwa timu hapo messi alimkutia wapi Wesley sneijder achia mbali Diego militto???

Ballon d'or iko biased tu hamna utetezi.... Kuna kipindi bayern alikuwa on fire ulaya nzima kuanzia ligi yake mpaka champions league ila hakuna cha ribery neur muller wala robben aliyebeba ballon d'or kama vigezo ni makombe xavi na iniesta walistahili ballon d'or kwa mchango wao kwenye makombe 3 mfululizo ya spain
Tuzo ya mchezaji bora lakini ili uchukue uchezaji bora inatakiwa ubora wako uonekane na huo ubora wako uisaidie timu yako kupata kombe/vikombe sasa huyo unaemuongelea ukimlinganisha na Mess kwa huo muda ni nani alikua bora kuliko mwenzake?
 
Tuzo ya mchezaji bora lakini ili uchukue uchezaji bora inatakiwa ubora wako uonekane na huo ubora wako uisaidie timu yako kupata kombe/vikombe sasa huyo unaemuongelea ukimlinganisha na Mess kwa huo muda ni nani alikua bora kuliko mwenzake?
Ni kweli lakini sneijder kwa ule mwaka alikua on fire alistahili tuzo kiukweli akifuatiwa na diego forlan maana walizibeba sana timu zao hadi kubeba hayo makombe nashangaa tuzo ikaenda kwa messi hta yye hakutegemea!!! Alijua hajastahili
 
Ni kweli lakini sneijder kwa ule mwaka alikua on fire alistahili tuzo kiukweli akifuatiwa na diego forlan maana walizibeba sana timu zao hadi kubeba hayo makombe nashangaa tuzo ikaenda kwa messi hta yye hakutegemea!!! Alijua hajastahili
Ok fine tufanye sneijder alionewa kufupisha huu mjadara ila uzuri nikwamba hawa wote tunawabishania hapa walikua na Ndoo au sio?...

Turudi kwenye uzi sasa...

Jamaa anataka Salah apewe ballon d'or ata bilakua na Ndoo haileti maana. You must have something first
 
Ok fine tufanye sneijder alionewa kufupisha huu mjadara ila uzuri nikwamba hawa wote tunawabishania hapa walikua na Ndoo au sio?...tuzo ya mchezaji haina maana,mpira sio tenesi,ili timu ishinde kuna nguvu kazi ya wengi..haya mambo wapeleke kwenye ndondi,kuogelea nk

Turudi kwenye uzi sasa...

Jamaa anataka Salah apewe ballon d'or ata bilakua na Ndoo haileti maana. You must have something first
 
Nikukumbushe tu kuwa mpaka sasa Messi anaongoza kwa Magoli La Liga na pia hilo kombe asilimia kubwa atalibeba, muda huohuo ameshabeba Copa del ray. Mwisho wa msimu atabeba kiatu chake La Liga na tuzo ya mchezaji bora kwa Spain, endelea kumpa credit mbele ya wanasoka.
 
Back
Top Bottom