Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 593
- 2,219
nimeandika kwa hiyo unasemaje mbwa nini weweHivi kweli ulipokuwa unaandika maneno haya kichwa na kiwiliwili vilikuwa connected?
Maana pumba ulizotema hapa hata nguruwe pori hazisogelei.
Akili yako imechanganyika na haja kubwa nakupuuza.Kijana mbona matusi au umetoka kumchungilia baba ako na mamako wakiwa wanafanya mapenzi
Lkn kasema kweliAmenishtua sana. Sijui anajiamini nini huyu.
View: https://x.com/lifeofmshaba/status/1833607835252625518?t=68eo1ZL4cwRhCDx1btviCQ&s=19
Awe makini maaana siku hizi haijulikani vizuri nani anateka serikali au chadema ....... serikali wanaweza kukuteka kukuzima usihongeee ......chadema wanaweza kukuteka ili wachonganishe serikali na wananchi na wapate huruma ....so katika kipindi hiki watu wawe makini sana.....maaana hao nilio wataja wote wanafanya haya mambo
Hawaguswi wala kuulizwa......wanaua tuuuImewapa uhuru mkubwa sana.
Ukitaka uheshimiwe jiheshimu sio unakuja tu kutukana mtu humjui ..... au wewe ni wakala wa TIGO PESA...... acha kutukana wanaume ....tusije dai miamala ya TIGO pesa yako ukaanza kulalamika dunia haina huruma shenzi kabisaAkili yako imechanganyika na haja kubwa nakupuuza.
Kituo kipo Ununio pale ndio sehemu ya kutupia miili asipoonekana muwe mnapitapita maeneo yale labda mnaweza mkamuokota maana tayari kikosi kishaelekezwa huko kwenda kumchukuaHakika hajakosea...
TIGO wakala mpaka JF?Ukitaka uheshimiwe jiheshimu sio unakuja tu kutukana mtu humjui ..... au wewe ni wakala wa TIGO PESA...... acha kutukana wanaume ....tusije dai miamala ya TIGO pesa yako ukaanza kulalamika dunia haina huruma shenzi kabisa
Akienda harudi huyo akirudi washamchomoa pumzi yakeMsitutekee sheikh wetu tafadhali
Na Wewe unataka?Sijui watateka wangapi.
Akienda harudiHuyu ni shekhe wa wawapi?
Siku za mwisho?! Kiaje Yohana?Mkiyaona haya basi mjue hizo ni dalili za siku za mwisho asema Bwana wa Majeshi
Soon hatojulikana alipoAmeongea ukweli! Ila kwa wale wasiopenda kuusikia huo ukweli, watamuona ni mtu mbaya.
Cha kushangaza huwezi kusikia waimba mapambio wakikamatwa! Si ni kwa sababu tu wanawasifia watawala waliolewa madaraka, kupitia hayo mapambio yao!
Za Ulimwengu huuSiku za mwisho?! Kiaje Yohana?
Kifo chako ndio mwisho wako YohanaZa Ulimwengu huu