Huyu Sheikh haogopi? Anaitwa Sheikh nani?

Huyu Sheikh haogopi? Anaitwa Sheikh nani?

Awe makini maaana siku hizi haijulikani vizuri nani anateka serikali au chadema ....... serikali wanaweza kukuteka kukuzima usihongeee ......chadema wanaweza kukuteka ili wachonganishe serikali na wananchi na wapate huruma ....so katika kipindi hiki watu wawe makini sana.....maaana hao nilio wataja wote wanafanya haya mambo

CHADEMA WANA NGUVU NA SERIKALI IMEWASHINDWA KABISA.... HII SERIKALI DHAIFU SANA.
 
Akili yako imechanganyika na haja kubwa nakupuuza.
Ukitaka uheshimiwe jiheshimu sio unakuja tu kutukana mtu humjui ..... au wewe ni wakala wa TIGO PESA...... acha kutukana wanaume ....tusije dai miamala ya TIGO pesa yako ukaanza kulalamika dunia haina huruma shenzi kabisa
 
Nguruwe pitaaa
Sina mkuki miee
Wewe haramu kwanguuu
 
Ukitaka uheshimiwe jiheshimu sio unakuja tu kutukana mtu humjui ..... au wewe ni wakala wa TIGO PESA...... acha kutukana wanaume ....tusije dai miamala ya TIGO pesa yako ukaanza kulalamika dunia haina huruma shenzi kabisa
TIGO wakala mpaka JF?
 
Ameongea ukweli! Ila kwa wale wasiopenda kuusikia huo ukweli, watamuona ni mtu mbaya.

Cha kushangaza huwezi kusikia waimba mapambio wakikamatwa! Si ni kwa sababu tu wanawasifia watawala waliolewa madaraka, kupitia hayo mapambio yao!
Soon hatojulikana alipo
 
Back
Top Bottom