Huyu Sheikh haogopi? Anaitwa Sheikh nani?

Huyu Sheikh haogopi? Anaitwa Sheikh nani?

Ila shekhe kanichekesha hapo "utapiiiigwa mpaka unatambaaaaa" ila ukisifu sifu unaitwa ikulu ukale samaki🤣🤣🤣🤣
 
Mi

nimeandika kwa hiyo unasemaje mbwa nini wewe
Ukiwa bado kijana halafu ukawa CCM huwezi kuwa sawa upstairs kila anaekwambia ukweli utamuona m'baya.

Mimi nimekwambia vile kukusaidia ili wakati mwengine ukiwa katikati ya watu wenye akili kukuzidi usiandike ujinga kama ulioauandika pale juu lakini wewe sasa unaniona mbwa.
 
haya ni matunda ya 4R ndugu

kajieleza na ndio demokrasia yenyewe
 
Back
Top Bottom