Huyu shoga angu kanichefua sana

Kazi ipo boss anasubiria tu kuilarua tu
 
Hahahahaha! Maisha ya kibongo fulu manyanyaso.
 
duuuuu hiiii kali.Kwanza huyo kesha gegedwa mpaka kasingizia anaumwa kazazi.Muunganishe na doctor ila nae aombe rigwaride
 
Eve lakini huyo bi dada si shogast ungemtemea tu ili siku nyingine aache kuwaza kama kuku...........
msaidie kurefusha akili..kwa kuponda huku haisaidii..


ila watu wengine bana yani we boss akuweke roho juu,na ukute boss mwenyewe si wa A wala Z ....
 
Wakati anatoa hela ya matibabu, huku anajinoa meno. Manake ndo anaandaa msosi hehehe.

afu wewe kupotea hivyo ndio nini? Shemegi yangu hajambo? Kesharudi?
Huyo shostito kisha mkubali boss na boss kakubali kugharamia matibabu. Sasa boss anataka proof kutoka kwa Dr ili aanze rasmi kutoa hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…