Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
Kweli mtoa mada umekerwa hadi unataka shoga ako agegedwe teeh trh teeeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eve lakini huyo bi dada si shogast ungemtemea tu ili siku nyingine aache kuwaza kama kuku...........
msaidie kurefusha akili..kwa kuponda huku haisaidii..
ila watu wengine bana yani we boss akuweke roho juu,na ukute boss mwenyewe si wa A wala Z ....
Niseme tu sio mimi...hii ni id tu
Niseme tu sio mimi...hii ni id tu
shoga angu kashindwa kuntunzia siri khaah!!!!!
Niseme tu sio mimi...hii ni id tu
Kutokujiamini nako shida, Boss ndo kitu gani looh uyo dada nae njaa 2 sitak nataka siawe na msimamo kwa sitaki au mzigo walika
sidhani kama ni ww
Niseme tu sio mimi...hii ni id tu
Wamekutana wote ye na boss wake ni mazuzu tu....Huyo shostito kisha mkubali boss na boss kakubali kugharamia matibabu. Sasa boss anataka proof kutoka kwa Dr ili aanze rasmi kutoa hela
kutojiamini shida sana, sasa ataandika anaumwa kizazi hadi lini? Mwambie aandike yuko hiv+