Huyu shoga angu kanichefua sana

Huyu shoga angu kanichefua sana

Huyo shots wako anafirwa, kwahiyo anaogopa kumpatia doctor hiyo huduma anazan doctor c mtumiaje hapo anahitaji chet ili a block matumiz ya mbele doctor apige mzigo nyuma . hiyo ni kazi take anaogopa dk akijua atasepa
 
Eve lakini huyo bi dada si shogast ungemtemea tu ili siku nyingine aache kuwaza kama kuku...........
msaidie kurefusha akili..kwa kuponda huku haisaidii..


ila watu wengine bana yani we boss akuweke roho juu,na ukute boss mwenyewe si wa A wala Z ....

Si A wala Z kivipi.
 
Kutokujiamini nako shida, Boss ndo kitu gani looh uyo dada nae njaa 2 sitak nataka siawe na msimamo kwa sitaki au mzigo walika
 
Kutokujiamini nako shida, Boss ndo kitu gani looh uyo dada nae njaa 2 sitak nataka siawe na msimamo kwa sitaki au mzigo walika

daah mafikizolo maduu wengine ni tabu sana chet cha nn kwani ndo anaanza kuomba kazi. Neno sitaki kutoka mdomon linatosha hajiamin huyo.
 
Huyo shostito kisha mkubali boss na boss kakubali kugharamia matibabu. Sasa boss anataka proof kutoka kwa Dr ili aanze rasmi kutoa hela
Wamekutana wote ye na boss wake ni mazuzu tu....
 
Back
Top Bottom