Huyu shoga angu kanichefua sana

Usifunge Eva..

Acha hivyo hivyo..
 
Nyuzi za Eva leo zinafufuliwa tu, sijajua kuna shida gani..
Toka jana sijui juzi, kila nikifungua nakuta uzi wa bi chumvi..
Moyo ukaenda mbio huenda ndugu yetu kapatwa na jambo ama ndio umauti ushmfika,
Nilikuwa napuuzia kufungua. Mwishowe nikasema nitajua kinachoendelea mumo kwa mumo.
Nikafungua nyuzi kama 2,3 hivi namkuta PSL, nikajua aah, kijana anaiomba kijanja, nikafunga.. Ajabu leo naona tena.
 
Etiiiii jamani sahivi namiliki kanisa, hivi waumini wangu wa humu jf watanionaje 😹
Bby wangu wasikupe sonona. Naomba ulale usjibe chochote hadi asubuhi... Chaooo
LavyuuuuuπŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°
 
🀣🀣🀣🀣🀣

Cc shemdalingi 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…