Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Usifunge Eva..Utoto
kuna siku nliona watu wanalalamika hii kufunga profile kwamba mtu yupo interested kusoma sasa akifungua pamepigwa pin....nikajisemea aaah hebu nifungue watu wainjoi kusoma hiiiiiiiiiii
Nakutana na mtu kapitia sasa profile!!
Notification 300 hadi nkashtuka kunani jamani, koneksheni yangu imevuja nini....nafungua ni kimtu kimenipekua
Imebidi nifunge tena.
Huenda kijana kaelewa, sasa anaiomba kijanjaHuyu PSL god ana utoto sana
Hapana mkuu sijaelewa chochote ππ€£π€£Huenda kijana kaelewa, sasa anaiomba kijanja
Toka jana sijui juzi, kila nikifungua nakuta uzi wa bi chumvi..Nyuzi za Eva leo zinafufuliwa tu, sijajua kuna shida gani..
Sawa mkuu, wakorongwa yetu macho tu. π€£Hapana mkuu sijaelewa chochote ππ€£π€£
Dogo una utoto mwingi sana aisee, Be a Man hata kama bado ni MvulanaHapana mkuu sijaelewa chochote ππ€£π€£
Bby wangu wasikupe sonona. Naomba ulale usjibe chochote hadi asubuhi... ChaoooEtiiiii jamani sahivi namiliki kanisa, hivi waumini wangu wa humu jf watanionaje πΉ
mshamba_hachekwiDogo una utoto mwingi sana aisee, Be a Man hata kama bado ni Mvulana
π€£π€£π€£π€£π€£Toka jana sijui juzi, kila nikifungua nakuta uzi wa bi chumvi..
Moyo ukaenda mbio huenda ndugu yetu kapatwa na jambo ama ndio umauti ushmfika,
Nilikuwa napuuzia kufungua. Mwishowe nikasema nitajua kinachoendelea mumo kwa mumo.
Nikafungua nyuzi kama 2,3 hivi namkuta PSL, nikajua aah, kijana anaiomba kijanja, nikafunga.. Ajabu leo naona tena.
Ushanunuliwa nguo za sikukuuu ? π€£π€£π€£
Ushanunuliwa nguo za sikukuuu ? π€£π€£π€£
Haiombwi hivyoHuenda kijana kaelewa, sasa anaiomba kijanja
Nshafunga πUsifunge Eva..
Acha hivyo hivyo..
Funga Mwaya πππNshafunga π
Aisee πππ
Sijafanya utoto wowote mkuuAisee πππ
Basi jitahidi basi kupevuka, na wewe miaka 10 ijayo utajilaumu sana kwann unafanya vitu vya kitoto kama hivi.