Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Kumbe mmeshaona single mother's ni watu wa hovyo, wasio na mapenzi ya kweli. Swali kwenu kwanini bado mnawatongoza? Mnawaoa? Kwa akili yangu, kitu kama ni hatari nakiepuka kabisa. Waacheni, mdate na wasiozaa halafu tuone, je hao ni Malaika na hamtalalamika tena? Tuko hapa...
 
Uamuzi ni wa Mwanamke, hivyo lazima alaumiwe yeye
 
Hapa analaumiwa mwanamke kwa sababu mtu kamkimbia kamwacha, kapata mtu wa kumshika mkono halafu yule aliyemkimbia anarudi kwake badala akatae, anaingia mazima tena. Sasa hapo wa kulaumiwa ni nani? Ni mwanamke maana hatumii akili angekataa tu
Hiyo ndio sababu kuu ya Wanaume kutopenda kuoa single mothers
 
Hii mada ni pana inaegemea pande zote mbili though am not a single mother.
 
Single mother ni wa kumaliza tu matatizo/haja/matamanio yako ya kimwili sio wa kuoa, labda awe amebeba certificate ya kifo cha baba mtoto wake na kukuonyesha kaburi lake lilipo hapo OA ila km hujaonyeshwa usioe sawa Bantu lady unataka kuoa single mother wewe au wewe ndio single mother?
 
Ndio maana wengine hata kabla ya kuoa tuliapa kutoa kuoa single mazas....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...yaani ajilete hapaa...ni no,

Just for only use and damp.
 
Sio kweli... mbona single mothers wengi tu wameolewa na baba watoto zao wapo cha muhimu ni ukutane na anaejitambua
 
Sio kweli... mbona single mothers wengi tu wameolewa na baba watoto zao wapo cha muhimu ni ukutane na anaejitambua
Yaani niwachache sana wanaojitambua....yaani ni lazima tu watarudi kwa walio zaa nao kwa kuchepuka....ndio maana wanaume ni ngumu kuwaoa single mazas....wanabaki kutumika tu kwa asilimia kubwa..basiii...
 
Akikujibu na hii nitag mkuu, nadhani umemaliza kila kitu.
 
Na bado mnawatongoza hivi ni kwamba hamuonagi hao wasichana wabichi wasiozaa? Muhudhuriage vikao muache kulia lia humu.
 
tufanye umeachana nae alafu na ulifanikiwa kuzaa nae mtoo na wewe ukafanikiwa kuendelea na maisha yako ukapata mke ukaja oa ikatokea umesikia mwanao akakwambia baba nimefiwa na bibi mzaa mama je wewe hutoenda kule kumzika huyo bibi
 
Yaaani bongo usiposema tu university huonekani kama ulisoma .....kwani ukisema tu ulisoma chuo ndio utaonekana huwajawahi kusoma?.....badilika
 
kuhusu kupata taarifa anaweza kuwa amepewa na mzazi mwenzie kwa kumwambia kuwa mwanangu amefiwa na babu yake na sidhani kama kuna kosa hapo hata wewe leo hii ukizaa na mwanamke mkaachana ni lazima utampigia simu kutaka kujua maendeleo ya mwanao labda kama hujitambui
 
Some creatures are just stupid, anyway wanaume/vijana wameshaonywa sana...at your own risk!
 
Tumechoka kuwashauri nyie wasenge, tumeshasema single maza anayepaswa kuolewa ni yule aliyefiwa tu na mumewe hao waliobaki ni wa kupiga miti na kusonga mbele.
Kama mwanaume mwenzio kamshindwa wewe ni nani umuweze?
vipi kuhusu single father's na wenyewe pia wasioe maana hawana tofauti na hao wakina Dada waliozalishwa wakaachwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…