Wanaowatongoza ni wengi ni kwaajili yakukidhi haja ya matanio ya mwili kwa mujibu wa tafiti wa Wanaume wengi wanasema single mother ni watamu na ni mafundi haswa kwenye sector ya sex na pia ni rahisi kuwapata lakini sio kwa lengo la kuwaoaNa bado mnawatongoza hivi ni kwamba hamuonagi hao wasichana wabichi wasiozaa? Muhudhuriage vikao muache kulia lia humu.