Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Na bado mnawatongoza hivi ni kwamba hamuonagi hao wasichana wabichi wasiozaa? Muhudhuriage vikao muache kulia lia humu.
Wanaowatongoza ni wengi ni kwaajili yakukidhi haja ya matanio ya mwili kwa mujibu wa tafiti wa Wanaume wengi wanasema single mother ni watamu na ni mafundi haswa kwenye sector ya sex na pia ni rahisi kuwapata lakini sio kwa lengo la kuwaoa
 
Wanaowatongoza ni wengi ni kwaajili yakukidhi haja ya matanio ya mwili kwa mujibu wa tafiti wa Wanaume wengi wanasema single mother ni watamu na ni mafundi haswa kwenye sector ya sex na pia ni rahisi kuwapata lakini sio kwa lengo la kuwaoa
Sasa kama sio kwa lengo la kuwaoa haya malalamiko ni ya nini? Watu wanajipinda huko wanatoa na mitaji yakiwakuta wanakuja kuwaandama singo mamas hapa ndio najiuliza kama lengo ni kula na kusepa vilio ni vya nini? hayo mengine si mnayatafuta muache malalamiko. Kama unajijua huwezan nao achaneni nao.
 
Tabia za mtu zinahusiana nini na kujipa mimba mwenyewe?! Kinachozungumziwa hapa ni tabia au misimamo ya mwanamke ambaye amepata mtoto na mwanaume ambaye wameshindwa kuishi pamoja na kulea mtoto.

Hizi lawama zote hapa ni za kulaumu tabia za kuwa na maamuzi ya kukosa busara kwa kudharau mwanaume aliyejitoa kuwa na mwanamke mwenye mtoto tayari kisha kumrejea mwanaume ambaye ndie chanzo cha kuvuruga maisha yake.

Mbona kwenye mjadala mnapenda sana kuhamisha magoli as if ujumbe unakuwa unawachoma? Ina maana wewe husomi wanachoandika watu na msingi wa malalamiko upo eneo gani?!

Kwan wanawake kupewa ujauzito na kutelekezwa imeanza leo?! Si ni tokea miaka ya nyuma. Ila miaka hii wanawake wanaopata watoto na kutelekezwa wamekuwa na utomvu wa nidhamu na kutokuwa na discipline ya kujiheshimu na kumheshimisha mwanaume aliyeamua kujitoa kwaajiri yake na kubeba mizigo ya mwanaume ambaye ulimchagua wewe kwa utashi wako uzembe wako na kuamua kuazaa nae mtoto ambaye aligomea kumtunza pamoja na mama yake.

Sasa wewe unateteaje upumbavu kama huo na kugeuza geuza maneno hapa ionekane wanaume wanalaumu wanawake bila sababu yoyote
Kwa hoja ulizompa akikujibu nitag
 
Sasa kama sio kwa lengo la kuwaoa haya malalamiko ni ya nini? Watu wanajipinda huko wanatoa na mitaji yakiwakuta wanakuja kuwaandama singo mamas hapa ndio najiuliza kama lengo ni kula na kusepa vilio ni vya nini? hayo mengine si mnayatafuta muache malalamiko. Kama unajijua huwezan nao achaneni nao.
Mwanaume akishapewa uroda wa maana na mahaba moto moto akili yake inaama ndio wengine wanajikuta wanaoa wakishaingia kwenye ndoa mambo ya bongo movie za single mother sikiisha ndio ujikuta kafanya makosa na kujutia uwamuzi wake
 
[emoji102][emoji102][emoji102] daa wewe embu usimshauri hivyo walikotafutana hakuwepo
Kumbe mnafugana ujinga mkiona mnataka kulipuliwa mnateteana ujinga, walikokutana ndio nini yaan single mother anafanya ujinga wewe unatetea awe anabambika mimba mwanaume mwingine wakati katombwa na mwanaume mwingine inaingia akilini hio kweli?
 
Binafsi naona niwe naye karibu amzee yule kiumbe then niangalie ustarabu mwingine ila asilani sintoweza kumoa tena...m
Unakaribishwa kwa ushauri
Nimecheka sina mbavu 😂😂

Anaenda kwa baba mkwe wa zamani

Wewe unaishi na mke wa mtu, tumia akili ukitomba na mwenzio pia anatomba huyo sio wa kwako peke ako, ukioa single mother au ukiwa na mahusiano na single mother inabidi usichukulie km ni wa kwako wewe mwenyewe km mtu wake wa zamani bado yupo

Huyo ni mke wenu hata wewe ukimuacha akipata mwingine ataendelea kua mke wako hawala hana taraka ukimtaka humtongozi tena upya ni kumuita tu na kumtembezea rungu

Kwa hio hapo ameitwa na mumewe wa zamani wakacheze league nyingine, wewe poza moyo tu km unampenda kubari na mapungufu yake ila jiandae kutombewa na baba mtoto wake maana yeye alikutangulia kipindi wewe unajiuliza mwenzio alishatundika daruga

Ni hivyo tu
 
Mkuu, "single mothers are no go zone"

Kinachomfanya single mama kurudiana na mzazi mwenzie wala sio uwezo wake wa kufikiri/ haudumiwi na mpenzi wake mpya bali ni nguvu kutoka ulimwengu wa kiroho.

Haya....basi ngoja tuzikatae hizo roho
 
single mother wasikie tu kwenye radio usitake nao mahusiano . kuna moja huyo nimemuapproch leo kanikubalia kesho yake ananiambia mtoto wako kakumiss [emoji16][emoji16][emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Asante mkuu upo vyema Sana when comes to discuss single mothers you have a lot of experience and I like the way you share with us

Wanawake wote ni rahisi kuwaingilia ikiwa utamuelewa anataka nini
Wanawake ni rahisi sana kuwalaghai na kuwadanganya.
Wanawake wanapenda uwongo
Wanawake wanapenda maigizo
Usithubutu kumeambia ukweli
Kwasababu hiyo s mother’ hawataisha
 
ila nyie wanaume mkizaa na wanawake mpaka vyumba mnawapangia kwa sababu ya watoto/mtoto wenu ila sisi wanawake kwenda tu msibani inakua tatizo
Hajakutoroka hajakuficha kakwambia ukwelila unataka asiwe hata na ushirika na ukoo wa mwanae, sad know that kuachana sio uadui
 
Kumbe mmeshaona single mother's ni watu wa hovyo, wasio na mapenzi ya kweli. Swali kwenu kwanini bado mnawatongoza? Mnawaoa? Kwa akili yangu, kitu kama ni hatari nakiepuka kabisa. Waacheni, mdate na wasiozaa halafu tuone, je hao ni Malaika na hamtalalamika tena? Tuko hapa...

Shida ni kua dada yangu kuna namna unaliona hili swala

Ila hi hainipi ugumu kusema bado tatizo lipo kwako...
Me binafsi kabla sijaongea chochote ntakuuliza about you na familia yenu kiujumla
Ukinmby tu nna mtoto swali linakofuata ni
Yupo wap baba yake...ikiwa yupo basi utanisamehe.!
Siandiki haya kufurahisha geng nmeonja joto la jiwe
Nmepaliliwa moto kooni
Nnaongea picha iliyopo mkononi
Siongei alinacha kama watu wengine
Sio hakuna mapenzi ya kweli bali ni kua mnarud kwa wazazi wenzenu
 
Na bado mnawatongoza hivi ni kwamba hamuonagi hao wasichana wabichi wasiozaa? Muhudhuriage vikao muache kulia lia humu.

Tunawaona
Sema wametuzidi umri[emoji16][emoji16][emoji16]

Ipo siku hutaamini ngoja ntafuta maisha.. kelphin
 
Back
Top Bottom