Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke alishamdharau mwanaume tangu siku ile alipompeleka chaka la kula tunda. wakiona unahudumia hudhan hatuna akili vizuri. had wao husema "siwez kumpa mpenz wang hela hata niwe milionea". hadi sasa ex wake anafiwa et anaenda msiban et ukuwe mwelewa!. eti ubinadam! ukiliacha linalia una gubu! niwataarif akina dada kuwa WIVU WA MWANAUME NI UCHUKUE WENU UZIDISHE MARA 777! ndo maana hakuna ndoa rasmi ya mke kwa waume wengi had leo. Na mkumbuke thaman yenu imejirundika katika umalkia wa kulindwa dhid ya kila kitu ikibid dhid yako mwenyewe! tukipambana kuwapa hadh na heshima mliopewa bure na muumba mnaisigina!Hapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtu ambaye nilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.
For sureTrue kabisaaaa Kama jamaa kaamua kulea mpaka mtoto wake kufikia huyo dada hana nidhamu kabisa.hakuna kitu kibaya Kama watu walio achana kwa vitu vidogo TU na walikuwa na mtoto wakikutana hao lazima kipigwe TU [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] zikikumbushwa zile moments na ndio zinazo haribu mambo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio maana unakuta mwanamke anae jitambua humpeleka mtoto kwao au kwa huyo mwanaume Alie zaa nae ili kuondoa usumbufu usio na tija
NB: Hakuna kitu mwanamke anacho kipenda Kama ndoa na kuitwa mke wa fulani na ndio maana single mother wote walio na watoto Zaid ya mmoja wako stressed Sana na kuish nao Ni ngumu Sana wanaona Kama Wana nyanyasika
Kuishi na single mother inahtaji moyo , uvumilivu,chochote utakacho kifanya anaona unamuonea,hawapendi kukosolewa kabisa
Hapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtu ambaye nilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.
Hapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtu ambaye nilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.
Ndio,baada ya msiba. Kutia na kutiwaYote hayo ni kwa ajiri ya kwenda msibani tu!?
Pole sanaa mkuu, ila always give a woman a second chance wana chelewa kujifunza ila akijifunza anakua mke bora wa mfano.Single mother nilimpendaga sana yule. Alipigwa mimba akiwa form 2 na jamaa akamkimbia kuogopa kesi. Kaka zake yule binti wakahangaika sana mpaka akajifungua. Nikamkuta amepauka anauza karanga road, huku akiwa na katoto ka miaka 6 gle mother.
Kumbe ma single mamaz wana enjoy na hawatuambii 😱 Chakorii Depal Joannah CarleenHata sitaki kuwasikia kabisa single mama,yupo mmoja nilimpenda na nikaamini huyo ndio mke wangu,nilimjali kwa kila hali na nashukuru kwa hilo hata yeye mwenyewe kwa mdomo wake alikiri tukiwa kwenye mahusiano nakumbuka aliwahi kuniambia, "hakika Atlas wewe umejua kuirudisha furaha yangu iliyokua imepotea na kuanza kukataa tamaa ya maisha",ila kilichokuja kutokea baada ya hapo ni history,
Naomba uje nikupe tukio alafu unipe second chance 😊😊😊😊Pole sanaa mkuu, ila always give a woman a second chance wana chelewa kujifunza ila akijifunza anakua mke bora wa mfano.