Huyu Sonko ni mhuni wanajamvi...katoa picha zake na Shebesh wakiwa faragha!

Kenya sasa inatawaliwa na wahuni. Hii sio freshi hata iweje..afu ni Senator mzima katoa hizi
picha kwa sababu ya visa vya wenyewe. Yaani nimekosa usemi.

Gaadeem!!!!
 
UWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII AL-SHABAAB WARUDI KUFUNDISHA WATU ADABU! NAONA HAMJANYOOKA! :frusty:
 
Kenya sasa inatawaliwa na wahuni. Hii sio freshi hata iweje..afu ni Senator mzima katoa hizi
picha kwa sababu ya visa vya wenyewe. Yaani nimekosa usemi.

Gaadeem!!!!
Mimi nafikiri ni photoshop,kama ni kweli Sonko kafanya hivyo huo ni uhuni uliopitiza ,kugombana sio manake mutoleane mambo yenyu ya siri,pamoja na ujinga wa Rachel lakini kama mwanadamu anastahili heshima,mambo ya chumbani na yabaki ya chumbani,pole mamii wa Nairooooo kikulacho ki nguoni mwako,badili tabia na mrudie Mungu,ni Mungu pekee asiyeweza kukudharirisha
 
Kenya sasa inatawaliwa na wahuni. Hii sio freshi hata iweje..afu ni Senator mzima katoa hizi
picha kwa sababu ya visa vya wenyewe. Yaani nimekosa usemi.

Gaadeem!!!!
tunaomba picha kamili mwenye nazo kuna page ya mambo ya Kikubwa humu ndani
 

Kamanda,

penye moshi pana moto...hizi picha mbona kibao tu aisee? Kamata nyengine hii...

 
Sijui familia ya Rachel(mume na watoto) inapokea vipi kashfa hii? Too low of Sonko,private moment not for public consumption.
 
Kenya sasa inatawaliwa na wahuni. Hii sio freshi hata iweje..afu ni Senator mzima katoa hizi
picha kwa sababu ya visa vya wenyewe. Yaani nimekosa usemi.

Gaadeem!!!!

au sonko alityaka tena bibie akamnyima?
 
Duh Manzi ya Nairobi sijui atajisikianje lazima ajilaume mwenyewe kwa kukubali kutembea na huyu muhuza sura.
 
Mtu ana bibi na watoto sidhani anaweza kufanya kitendo cha kujianika hivyo, siwatetei lakini naamini ni photoshop.
 
Mtu ana bibi na watoto sidhani anaweza kufanya kitendo cha kujianika hivyo, siwatetei lakini naamini ni photoshop.
Hii ni michezo michafu tu ya kisiasa bana... Sonko mwenyewe jana alipohojiwa, alihusisha hizo picha na photoshop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…